Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Utalipwa!Kupenda hapana. Ila kupiga wa bure wengi sana. Kuna kile chuo cha iringa pale karibu na Baclays waambie madereva taxi wanakuletea sister(nun) kanona kitu mnato bei rahisi. Wanatia hamu sana ukiwapiga huku wamevaa zile uniform zao
Mungu yup I?Je umewahi kupendana Na sister?Mimi kuna sister mmoja ametokea kunipenda kinyama.tulikutana mazingira fulani ya kielimu tukapeana namba kwa mawasiliano ya kawaida.baada ya shughuli kumalizika kila MTU alienda kwao(mkoani).
toka Siku iyo huyu mtumishi wa mungu ananitumia SMS za mahaba daily.ananitumia picha WhatsApp pozi za hatari.mwezi wa sita anasema anakuja kunipa tunda.sasa naomba ushauri wenu maana namuogopa mungu.
Long time love... Sawa.. Kama utakuwa na masawali usisite kuniuliza love...Just passing through your comments
Hiyo koment nimecheka kweli umemjibu vizur mtu anamwogopa Mungu halafu tumshauri ili iweje asimuogope Mungu au??? HahahahaKama unamuogopa Mungu, tukupe ushauri upi mkuu?
humu ndani kuishi na stress ni kujitakia coz vituko vya kukufanya utabasamu ni vingi sanaMkuu, una bahati ya kipekee sana.Utakula kondoo wa bwana lakini kizuri zaidi utambikiri.Raha sana hilo zoezi.
Naomba umwambie basi aongee na sister mwenzie,kwamba nami nimpe kitu kizuri mno.
nashukuru
HahahahahahahaKama unamuogopa Mungu, tukupe ushauri upi mkuu?
Ni kweli kabisa mkuukwa aina ya uandishi wako huyo mungu wako hata humwogopi maana hata huku JF usingekuja kuuliza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu anawaonaMkuu, una bahati ya kipekee sana.Utakula kondoo wa bwana lakini kizuri zaidi utambikiri.Raha sana hilo zoezi.
Naomba umwambie basi aongee na sister mwenzie,kwamba nami nimpe kitu kizuri mno.
nashukuru
Kwaninachojua ni kuwa, mdada kuwa na sifa za kusomea usista ni kuwa asiwe na mtoto yaani awe hajazaa, ila suala la kuwa lazima awe bikira sidhani kama linatumika maana kuna wengine pengine walibakwa utotoni kwa kutishiwa na walezi wao so mtu kama huyo huwezi kumhukumu asiwe sista kisha si bikra, ila kuwa na mtoto hapo hawezi kabisa kuwa sista pia wanaangalia na matokeo ya form IV maana wanataka vichwa haswa, pia wanaangalia awe na uwezo wa kuzaa kwa maana awe amejitoa kwa Mungu kama yeye sio kwa kuwa hawezi kuzaa hence hawezi kuolewa basi ndo akakimbilie usistaHivi hao wanakuwaga mabikra kweli? au? Wanalelewa kituoni tangu wadogo? Au wanakuja ukubwani na kupimwa kama na mabikra?
anapeperusha njiwa wake bila kujua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna mambo unapaswa kuwa na kifua usiweze simulia hata mtu mmoja
sasa hapa kama huyo sista kapita humu hutampata tena