Mkuu utapoteza muda wako bure...., mi namjua sister mmoja alishaliwa sana tangu kakiwa primary amefika huko mbeleni akaingia huko...Mkuu, una bahati ya kipekee sana.Utakula kondoo wa bwana lakini kizuri zaidi utambikiri.Raha sana hilo zoezi.
Naomba umwambie basi aongee na sister mwenzie,kwamba nami nimpe kitu kizuri mno.
nashukuru
We kijana Mimi sijawahi zini nje ya ndoa yangu hadi sasa by the way I got married to a virgin and I was not used to a woman tooWe haujawahi kuzini?
Sio kila sister ni bikraMkuu, una bahati ya kipekee sana.Utakula kondoo wa bwana lakini kizuri zaidi utambikiri.Raha sana hilo zoezi.
Naomba umwambie basi aongee na sister mwenzie,kwamba nami nimpe kitu kizuri mno.
nashukuru
Ukimla sister lazima ufe mkuu!....believe me!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hilo jibuKama unamuogopa Mungu, tukupe ushauri upi mkuu?
Hatari sana,anajifanya sister kumbe anaenda kuliwa mzigoHapa nakumbuka ile movie ya Prison Break ...
Wakati jamaa wako Gereza la SONA , Lechero alikuwa demu aliyekuwa anavalia kama sister...
Kwa nini msioabe tu? Kufunga ndoa na sister sio dhambi maana ni kiapo cha hiyari, lkn kuzini na mtu yeyote-awe sister, padre au mtaani, hiyo ni dhambi tu.Je umewahi kupendana Na sister?Mimi kuna sister mmoja ametokea kunipenda kinyama.tulikutana mazingira fulani ya kielimu tukapeana namba kwa mawasiliano ya kawaida.baada ya shughuli kumalizika kila MTU alienda kwao(mkoani).
toka Siku iyo huyu mtumishi wa mungu ananitumia SMS za mahaba daily.ananitumia picha WhatsApp pozi za hatari.mwezi wa sita anasema anakuja kunipa tunda.sasa naomba ushauri wenu maana namuogopa mungu.
So apeleke mahari kanisani?Kwa nini msioabe tu? Kufunga ndoa na sister sio dhambi maana ni kiapo cha hiyari, lkn kuzini na mtu yeyote-awe sister, padre au mtaani, hiyo ni dhambi tu.
Vv
Sioni swali hapo, kwani ndoa lazima kuwe na mahari au suala bi makubaluano tu?So apeleke mahari kanisani?
Utakuwa hujaoa wewe. Hakuna Ndoa bila Mahari.Sioni swali hapo, kwani ndoa lazima kuwe na mahari au suala bi makubaluano tu?
Ndoa sii mahari, ndii maana mchungaji anapofungisha ndoa huwa haulizi wala hataki kujua kuhusu mahari.
Vv
Mkuu, ulisoma swali ambalo nimemjibu? Hata hivyo, popote ndoa inafungishwa huwa hawaulizi kama mahari imelipwa ama la, Kanisani wanataka consent ya wazazi tu. Bomani ndio kabisa, hawataki hata kutaka kujua kama wazazi wametoa kibali, wanafungisha tu ndoa.Utakuwa hujaoa wewe. Hakuna Ndoa bila Mahari.