H heart whisperer Member Joined Dec 9, 2015 Posts 6 Reaction score 1 Dec 21, 2015 #1 Jamani kuna mkazi wa Arusha humu? Nahitaji awe anaifahamu vizuri maktaba ya mkoa ikiwezekana na baadhi ya wafanyakazi.
Jamani kuna mkazi wa Arusha humu? Nahitaji awe anaifahamu vizuri maktaba ya mkoa ikiwezekana na baadhi ya wafanyakazi.
H heart whisperer Member Joined Dec 9, 2015 Posts 6 Reaction score 1 Dec 21, 2015 Thread starter #3 Nina shida kama mwenyeji njoo private.
N Ngarna JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 1,964 Reaction score 824 Dec 21, 2015 #4 Maktaba ya mkoa ipo opposite na jengo la ARCU au pembeni ya jengo la ustawi wa jamii.