TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Wakuu nawasalimu.
Kuna ndugu yangu hapa Dar anahitaji mkopo wa sh 3m. nilivoongea nae hana dhamana ila ajira yake inaisha tar20 this november na anategemea kupata pensheni yake baada ya wiki mbili au tatu.
Anafikiria kulipa huo mkopo kwa pesa yake ya pensheni kwa riba ambayo mtaelewana na kuandikishiana kisheria mahala mtakapokubaliana.
Kama kuna mtu mdau humu amehamasika tunaweza kuwasiliana PM.
Asanteni kwa sasa
Kuna ndugu yangu hapa Dar anahitaji mkopo wa sh 3m. nilivoongea nae hana dhamana ila ajira yake inaisha tar20 this november na anategemea kupata pensheni yake baada ya wiki mbili au tatu.
Anafikiria kulipa huo mkopo kwa pesa yake ya pensheni kwa riba ambayo mtaelewana na kuandikishiana kisheria mahala mtakapokubaliana.
Kama kuna mtu mdau humu amehamasika tunaweza kuwasiliana PM.
Asanteni kwa sasa