not today
Member
- Sep 2, 2013
- 17
- 2
MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA MEJA JENERALI RAPHAEL MUHUGA ANAPENDA KUWAALIFU WAHITIMU WOTE WA KIDATO CHA SITA KUWA MAFUNZO YA JKT YATAENDELEA KUENDESHWA KWA AWAMU TOFAUTI TOFAUTI KAMA ILIVYOPANGWA
AIDHA ANAWATAKA KUPUUZA TAARIFA YOYOTE INAYOHUSIANA NA JKT NA BADALA YAKE WATEMBELEE TOVUTI YETU YA www.jkt.go.tz AU MAKAO MAKUU YA JKT YALIYOPO MLALAKUWA, DAR ES SALAAM KWA TAARIFA ZAIDI
bonyeza hapa Tangazo la jkt1 AU mimi tu nipo outdated tangzo la zamani..navp kuhusu jamaa zetu kurudi around tar 27 sept na registration zilizpo nyuma ya tarehe hiyo...anyway tutasoma kesi ipo mahakaman
AIDHA ANAWATAKA KUPUUZA TAARIFA YOYOTE INAYOHUSIANA NA JKT NA BADALA YAKE WATEMBELEE TOVUTI YETU YA www.jkt.go.tz AU MAKAO MAKUU YA JKT YALIYOPO MLALAKUWA, DAR ES SALAAM KWA TAARIFA ZAIDI
bonyeza hapa Tangazo la jkt1 AU mimi tu nipo outdated tangzo la zamani..navp kuhusu jamaa zetu kurudi around tar 27 sept na registration zilizpo nyuma ya tarehe hiyo...anyway tutasoma kesi ipo mahakaman