Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Wadau heshima kwenu,
Naomba kuuliza kama kuna mtu aliwahi kununua gari ronimotors thailand nataka kununua pick up double cabin. Sasa hawa jamaa siwafahamu na bei ya pickup imenona kidgo nisije kuingia chaka.
Asanteni
Naomba kuuliza kama kuna mtu aliwahi kununua gari ronimotors thailand nataka kununua pick up double cabin. Sasa hawa jamaa siwafahamu na bei ya pickup imenona kidgo nisije kuingia chaka.
Asanteni