Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Habari za asubuhi wadau.
Natumaini siku yenu imeanza vizuri kwa wale tulioamka mapema.
Kama kuna mtu ameshawahi kutumia mizinga ya nyuki kutoka China naomba mrejesho juu ya ufanisi wake. Niliwahi kusoma sehemu kuwa mizinga ya huko matundu madogo nyuki haziwezi kuingia.
Asanteni.
Natumaini siku yenu imeanza vizuri kwa wale tulioamka mapema.
Kama kuna mtu ameshawahi kutumia mizinga ya nyuki kutoka China naomba mrejesho juu ya ufanisi wake. Niliwahi kusoma sehemu kuwa mizinga ya huko matundu madogo nyuki haziwezi kuingia.
Asanteni.