Kwa ambae hajui jinsi ya kujaza fomu za mkopo za bodi (heslb)

Mchokozi wa mambo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2014
Posts
201
Reaction score
159
Wana Jf kwa mtu yeyote ambaye hajui aanzie wapi, aishie wapi kujaza fomu za mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB). anaweza kuwasiliana nami kwa 0785 140 370 au fika Banana Karibu na Airwing Secondary au fika Banana Airwing uliza kwa Mseti utafika
 

Mimi Mkuu natafuta namba zao za mkononi, niliwapata kwa landline wakaniambia watanipigia mpaka leo huku siku zijayoyoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…