Kwa ambaye alishakutana na changamoto hii gari anisaidie

pacoma

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
650
Reaction score
414
Wapendwa,

Gari yangu ina tatizo Hili, ikiwa kwenye mwendo halafu ataka kuongeza/kupunguza mwendo gari haiendi inajiresi kwanza kidogo ndio iachie. Inakuwa kama nimeshika breki huku nimekanyaga pedo ya mafuta, Ni suzuki escudo.

Mafundi wangu wanabahatisha tu, natumia hela kununua vitu sivyo, lakini tatizo haliishi
 
Gari aina gani na upo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…