Kwa anae hitaji kuchange chuo/coz alyopangiwa na TCU ani PM

Yeyote mwenye kuhtaji hyo huduma anijulishe,nimpe maujanja.

Kijana ujanja unafanya wewe? Au tcu? Acha vijana wakasome acha kupotosha umma unless sema upo tcu office jamaa wakufuate hapo with office number.
 
Kijana ujanja unafanya wewe? Au tcu? Acha vijana wakasome acha kupotosha umma unless sema upo tcu office jamaa wakufuate hapo with office number.
<br />
<br />
anaji proud to the maximum.
 

Aisee mimi nataka kuhamia UDOM sasa hivi je itawezekana?
 
kweli hii nchi imeshakuwa fake! Mpaka chuo unahama? Dah! Ndo maana walianzisha utaratb wa tcu ili kurahisisha huu uharamia kama wa sekondary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…