Kwa anaefanya biashara ya ubuyu wa Babu issa

QHI

New Member
Joined
Mar 18, 2019
Posts
4
Reaction score
16
Ndugu msaada wenu tafadhari natamani sana kununua ubuyu kwa babu issa zanzibar lakini mawasiliano nao nilipoteza baada ya kukabwa na kuibiwa simu,mwenye kuwafahamu watoto wa babu iisa au mawasiliano yao anisaidie tafadhari.

Asanteni sana

Deeteyamo
 
Ndugu msaada wenu tafadhari natamani sana kununua ubuyu kwa babu issa zanzibar lakini mawasiliano nao nilipoteza baada ya kukabwa na kuibiwa simu,mwenye kuwafahamu watoto wa babu iisa au mawasiliano yao anisaidie tafadhari.

Asanteni sana

Deeteyamo
Nitakutafutia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: QHI
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…