Hivi kwanini Tanzania hakuna kampuni zinazodeal na mambo ya relationship. Kwa mfano mimi niko single na sijioni kumpata mtu sasa naenda kwao waniunganishe na wanaume waliopo single kwenye data base ya kampuni. Au blind dates mbona hatufanyi sisi.
Siongelei kuunganisha watu na madanga hiyo ni kawaida naongelea ile relationship serious kabisa ambayo inaweza kuzaa ndoa.
Asante mkuu.. umeniongezea kitu. Sema naonaga kwenye movie tu hizo vitu halafu kibongo bongo watu wanaweza kweli kulipia wapate wapenzi?
Asante mkuu.. sasa tofauti ni kwamba huko love connect waty mnakua hamjuani, unajua wakati mwingine hata sura ya mtu inaeza ikakushawishi umpende, hiyo ninayoongelea unakuta wapenz wanapata watu wanaoendana nao sababu ya sifa wanazoziweka. Huko love connect mi nataka mtu mfupi kama Joti ila atantafuta mtu mrefu kama Hashim Thabeet halafu ataanza leta story za tuonane utanipenda tu.JF ndiyo kampuni pekee inayofanya hivyo. Kujiunga, ingia Love connect!
Kwahiyo ulitaka hiyo huduma bure?!Mimi kulipia sidhani nina uchaga kuliko utanga mkuu..
Nimeulizia sijasema wanihudumie, kwani nikiulizia boxer zinapouzwa naenda kuvaa mie? au we ukiuliza pamba nzuri za kike umchukulie mkeo unaenda vaa wewe?
Kumpata mtu mkapendana ni bahati. Na wewe kajaribu bahati yako huko Lv connect. Ukishindwa njoo kwangu nikutongoze ili niwe nakubebisha full time!Asante mkuu.. sasa tofauti ni kwamba huko love connect waty mnakua hamjuani, unajua wakati mwingine hata sura ya mtu inaeza ikakushawishi umpende, hiyo ninayoongelea unakuta wapenz wanapata watu wanaoendana nao sababu ya sifa wanazoziweka. Huko love connect mi nataka mtu mfupi kama Joti ila atantafuta mtu mrefu kama Hashim Thabeet halafu ataanza leta story za tuonane utanipenda tu.
Nilitaka nijilipue kwako lakin namuogopa jje's mtag umuulize kama akikubali bas freshJilipue mkuu.. kuna wanawake hawana muda wa kutongozwa sababu maisha yao ni kazi na kanisa sasa utawasaidia