Kwa anaepajua Bunda; Fursa gani zaidi za biashara zipo?

john kay

Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
49
Reaction score
9
wanajamiii; hasa wale wadau wa ujasiriamali.

Nahitaji kujuzwa kwa maeneo ya Bunda ni fursa zipi zaidi za biashara naweza kushugulika nazo. Nahitaji kwenda, ikibidi hali ya mzunguko wa pesa wilaya ile upo vipi...

Natanguliza shukrani za dhati wadau...
 
Fursa ni nyingi ni wewe kujipanga kwa ukitakacho.
 
Bunda pazuri,nimesoma chuo cha ualimu hapo,bnafic nilipapenda,kilmo,uvuvi,biashara na ufugaji ndo shughuli za hapo bunda mwlmu
 
:tonguez::tonguez: Inavyoonekana Bunda kwa kilimo wako vizuri wapendwa ndo imepangwa kufundisha Secondari hapo hivyo nashukuru kwa ushauri wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…