fortie zechariah
Member
- Mar 11, 2013
- 10
- 9
:fish2: Wana JF naomba msaada wenu tafadhali, mdogo wangu amechaguliwa kwenda KISIWANI SEC -SAME A-Level, kama kuna anayefahamu shule ilipo kule Same naomba anielekeze.
Naomba pia kujua kama shule ina bweni au ni ya kutwa, kwani tovuti ya wizara haina "details" zozote kunisaidia.
Natanguliza shukrani.
Naomba pia kujua kama shule ina bweni au ni ya kutwa, kwani tovuti ya wizara haina "details" zozote kunisaidia.
Natanguliza shukrani.