imepita miezi mitano sasa tangu nilivyojifungua mtoto wangu wa kwanza, imetokea hali ambayo inanichukiza kwa kweli ni ili tumbo langu kuwa kubwa kama bado nina mimba, kwa ambaye anaweza kujua dawa yoyote ya asili ambayo inaweza kunisaidia kulipunguza, mazoezi yamenishinda nimejaribu sanaaa nashindwa kufwatilia, msaada please.