Habari wanaJF,kwa anayejua biashara ya vitu ivyo hapo pichani...vinafahamika kama "LULU YA CHAZA" vilivyo ni kama madini ambayo hayapatikani kwa huraisi,hutumika sana na waarabu...sasa ninavyo vingi lakini sifahamu vinanuliwa wapi kwa hapa TZ,kwa anayefahamu soko lake tuwasiliane kwa 0712269097...asanteni.