Kwa anayefahamu biashara ya vitu hivi

Mtafute yule kijana wa Sheikh Yahya, wanayatumia sana kwa kazi zao. Sitanii.
 
kudadadeki we niji nini? mbona post kamakama ya unijiniji vile afu hizo picha ziko wapi sasa, haya hata usizilete hapa peleka kwa wale wanaovaa kama ninjazi.
 
Ngoja nitaweka picha baadae maana zipo kwenye smartphone na najaribu kuziupload lakini servers za jf zinasumbua kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…