nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,902
- 2,488
habari wanajamii forums, leo nimeiwaza mahakama hii iitwayo mahakama ya hakimu mkazi kisutu, iliyopo pembeni ya maktaba kuu ya taifa katikati ya jiji la dar,
kwa hakika ndiyo mahakama maarufu zaidi nchini kuliko mahakama zote
na ndiyo mahakama ambayo kesi zake nyingi huandikwa magazetini na kuonekana kwenye vyombo vyengineko, pia watu wengi maarufu wa dar na nchi kwa ujumla wawapo na kesi mara nyingi wanapitia mahakama hii, hebu waelewa wa mambo na wajuzi mtupe historia ya mahakama hii imeanza lini kutoa huduma na mtusimulie lolote lenye kuvutia kusoma juu ya mahakama hii bila kusahau kesi zilizovutia wafuatiliaji zilizowahi kupita mahakama hii na mahakimu wake
kwa hakika ndiyo mahakama maarufu zaidi nchini kuliko mahakama zote
na ndiyo mahakama ambayo kesi zake nyingi huandikwa magazetini na kuonekana kwenye vyombo vyengineko, pia watu wengi maarufu wa dar na nchi kwa ujumla wawapo na kesi mara nyingi wanapitia mahakama hii, hebu waelewa wa mambo na wajuzi mtupe historia ya mahakama hii imeanza lini kutoa huduma na mtusimulie lolote lenye kuvutia kusoma juu ya mahakama hii bila kusahau kesi zilizovutia wafuatiliaji zilizowahi kupita mahakama hii na mahakimu wake