Kama Kuna mtandao unaujua ambao watu wananunua picha za nature n.k anisaidie jina lake yaani watu wakiipenda picha yako labda ya mnyama au beach au miti wakiupload wanachangia kiasi fulani maisha yanaendelea.
vitu vingne ni kuchoshana ukishatajiwa website wewe unatakiwa uingie kwenye website husika na kuanza kufuatilia taratibu zao sasa unataka mtu akutajie mpaka mode of payments duuuh au ndio uvivu wa kusearch tu hyo jina?.