Kwa anayefahamu...

pepim

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
335
Reaction score
52
Wanajf wenzangu poleni na majukumu ya hapa na pale..............Ni hivi kwa yeyote anayefahamu faida za matango(pori na ya kisasa) na malimao katika miili yetu sisi wanadamu..Msaada tafadhali maana nilipita sehemu nikawaona watu wanayashambulia sana ingawaje yalikuwa yakiuzwa kwa bei ya juu.Nataka na mimi nianze kuyashambulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…