Kwa anayehitaji Errand Boy

Joined
Dec 14, 2018
Posts
86
Reaction score
157
Habari wakuu,

Mm ni kijana wa halali wa kitanzania, nipo dar natafuta kazi ya yoyote ya ERRAND kwa wale wasiokuwa na muda wa kufika sehemu husika na kuchukua mazaga, iwe bidhaa au kuchukua/kuletewa baadhi ya kitu/vitu.

No 0676941519
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…