Kwa anayehitaji mbegu za Mlonge kwa wingi

Kwa anayehitaji mbegu za Mlonge kwa wingi

Lord Delamere in Kenya

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,988
Reaction score
8,021
Hizi mbegu pamoja na majani,magome na mizizi ya mti wa Mlonge vimekuwa na faida nyingi za kiafya kwa watu.

Sasa kuna eneo moja huko mikoani nilikoenda kutembelea ndugu zangu nimekuta hiyo miti ipo mingi sana. Kwakuwa ni majira ya kiangazi,miti hii imepukutisha majani yake kama miti mingine ila nilichoona mbegu ziko mitini maana zenyewe hazijapukutishwa.

Kwa anayezihitaji,hasa wale wataalamu wa tiba asili tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom