ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Acha kukutana nao ili kuwanunulia bia; watafutie connection wakafanye kzai yao ya uchekeshajiNashindwa kujua kwanini serikali haikuwapeleka hawa wasanii wawili huko Korea wakati mchango wao kwenye maigizo ya vichekesho upo wazi. Anyway mimi nataka nije dar kesho kutwa sasa natamani kweli nikutane na bambo nimnunulie bia najua kwa sasa maskani zao nahisi ni tabata bima au magengeni ila Sina contact zao mwenye kunipa ushauri wapi naweza kuwaona nikae nao niwaambie kwa jinsi gani nawakubali.
Inawezekana uwezo wake ni bia na wewe unaweza kulifanya vizuri hilo la connection! Kila mtu ajikune anapowezaAcha kukutana nao ili kuwanunulia bia; watafutie connection wakafanye kzai yao ya uchekeshaji
Soma maelezo yake vizuriInawezekana uwezo wake ni bia na wewe unaweza kulifanya vizuri hilo la connection! Kila mtu ajikune anapoweza
Wape fulsa wapige hela? Siyo bia mkuu.Nashindwa kujua kwanini serikali haikuwapeleka hawa wasanii wawili huko Korea wakati mchango wao kwenye maigizo ya vichekesho upo wazi. Anyway mimi nataka nije dar kesho kutwa sasa natamani kweli nikutane na bambo nimnunulie bia najua kwa sasa maskani zao nahisi ni tabata bima au magengeni ila Sina contact zao mwenye kunipa ushauri wapi naweza kuwaona nikae nao niwaambie kwa jinsi gani nawakubali.