Kwa anayejua gharama za huduma katika ofisi za Auto Express

Kwa anayejua gharama za huduma katika ofisi za Auto Express

Israel

Senior Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
171
Reaction score
39
HAbari wana JF,
Kuna hii ofisi mpya cha kutengeneza magari ya aina mbalimbali kinaitwa auto express kipo karibu na njia ya kuingilia vingunguti barabara ya Julius K. Nyerere,kuna anayefahamu gharama zake na huduma zao kiuhalisia na sio kwa kusoma kwenye gazeti au mtandaoni?
Naomba msaada tafadhali,ahsanteni.
 
HAbari wana JF,
Kuna hii ofisi mpya cha kutengeneza magari ya aina mbalimbali kinaitwa auto express kipo karibu na njia ya kuingilia vingunguti barabara ya Julius K. Nyerere,kuna anayefahamu gharama zake na huduma zao kiuhalisia na sio kwa kusoma kwenye gazeti au mtandaoni?
Naomba msaada tafadhali,ahsanteni.
Wadau hii ofisi hamuifahamu?
 
Back
Top Bottom