Kwa anayejua jinsi ya kuweka pesa m9bitcoin kupitia njia ya mpesa au tigopesa nk anifahamishe tafadhari

dymaka

Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
12
Reaction score
2
Kwa yeyote yule anayejua kuweka na kutoa hela kwenye account ya m9bitcoin kupitia njia ya mpesa au tigo pesa nk tufajulishane jamni
 
Wakikujibu unistue nami nianze kutumia hyo app
 
Kwa yeyote yule anayejua kuweka na kutoa hela kwenye account ya m9bitcoin kupitia njia ya mpesa au tigo pesa nk tufajulishane jamni
mkuu una uhakika wana huduma ya kutoa pesa wa njia hiyo?
 
Waafrika tuliowengi haswa Watanzania bado hatujawa na uwezo mzuri wa kuwekeza kwenye cyptocurrence nawashauri vijana tujifunze kwanza maana mwisho wa siku Wazungu wanatumia ujinga wetu kutuibia kwa kupitia Waafrika wenzetu.
 
Cjakuelewa vzr unachotaka ila nichek pm nikuelewa unachotak ntakuelekeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…