Kwa anayejua maana ya msemo Dunia hadaa, binadamuu shujaa

Kwa anayejua maana ya msemo Dunia hadaa, binadamuu shujaa

Kuna mahala nliona maana yake.... Dunia Ina mambo mengi mabaya yahitaji mtu jasiri kuweza kuyashinda au kukabiliana nayo....
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa.

Hii maana yake ni kwamba,

Dunia inadanganya na mwisho wa siku ulimwengu ndy utaibuka shujaa

Usishindane na dunia tunapita tu.
Fanya yalio mema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom