Kwa anayejua mishahara ya idara ya uhamiaji anijuze


we nyau kweli, cjui hata kama wewe ni muelewa,ina maana mtu kuulzia mishahara ya idara flan ndo anatafuta kazi?
 
we nyau kweli, cjui hata kama wewe ni muelewa,ina maana mtu kuulzia mishahara ya idara flan ndo anatafuta kazi?

Ongeza tusi jingine lakin mi nakula zangu maisha taratiiibu. Huna exposure kwa kweli unaulizia mpaka mishahara ya mapolisi wa Uhamiaji ambayo iko wazi kabisa. Pole sana, ila nadhani imekuuma
 
Ongeza tusi jingine lakin mi nakula zangu maisha taratiiibu. Huna exposure kwa kweli unaulizia mpaka mishahara ya mapolisi wa Uhamiaji ambayo iko wazi kabisa. Pole sana, ila nadhani imekuuma

we chalii ni mngese,kwa hyo unaona hcho kijikazi chako cha kuwatawaza hao vikongwe wa kizungu ndo cha maana?
 
we chalii ni mngese,kwa hyo unaona hcho kijikazi chako cha kuwatawaza hao vikongwe wa kizungu ndo cha maana?
Tehe tehe Senator utamaliza matuzi yote. Kwa taarifa tu, I am proud of the professional job I have and the University I pursued my degree programme. Ongeza tusi jingine then uone unavyojitukana mwenyewe.
 
kazi ya uhamiaji mpaka uende depo JKT miezi 6 then unaenda CCP Moshi miezi 3 hapo ndio utakuwa umepata kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…