rasha
Member
- Sep 6, 2013
- 75
- 8
Huyu ni mtoto aliyekutwa na Baba kwa Mama.
Wakati huyu Baba anamuoa Mama,
alimkuta na watoto watatu (3) wote wa kike kila mmoja na Baba yake.
Na huyu Baba kipindi anamuoa Mama, alikuwa na Mtoto mmoja (1) wa kiume.
Wazazi hawa wakaona kwa ndoa ya kiislam, wakazaa watoto wawili (2)
Mmoja wa kiume na mwingine wa kike.
Wazazi hawa wakaachana na taraka ikatoka, wakagawana mali walizochuma pamoja, kikiwepo na kiwanja.
Baada ya kuachana, maisha yakaendelea,
Huyu Mama akapata Mume mwingine akazaa nae mtoto mmoja wa kiume. Lakini hawakufunga ndoa.
Kwa upande wa yule Baba akawa na mke mwingine pia nae hakufunga ndoa na anawatoto wengine.
Huyu mama kwenye ule uwanja wake alioupata kipindi wanaachana na mzazi mwenzie, akajenga nyumba na hii nyumba alijenga kabla hata hajakutana na huyu Baba mwingine. Akawa anaishi yeye na familia yake.
Kulingana na ugumu wa Maisha,
Aliona binti yake wa pili kwa kuzaliwa anahangaika kwa nyumba za kupanga,
Akamwambia ajenge nyumba hapohapo kwenye ule uwanja Ili binti yake asiteseke. Na akipata uwezo atafute eneo na kujenga.
Miaka michache baadae huyu Mama akafariki Dunia na kuacha watoto sita (6), watatu walikutwa na yule mtalaka wake, wawili walizaa na mtalaka wake, na mmoja baada ya kutalakiana.
Sasa basi yule binti aliyejenga kwenye uwanja anataka watoto wote (6) wakatiwe eneo Lao kutoka kwenye ule uwanja, na yeye pale alipojenga ndio kwake alipewa na mama yake. Na hakuna nyalaka zozote zinazozibitisha hilo.
Sasa Je,
(1) Kuna ulisi wa kwamama?
(2) Huyu binti anahaki yakudai ardhi anayoidai?
(3) Wale watoto wawili ambao Baba yao ndio alichuma na mama, haki yao iko wapi?
(3) Hawa watoto wengine nafasi yao inakuwa wapi katika hilo?
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa mnayoijua sheria ya milasi.
Wakati huyu Baba anamuoa Mama,
alimkuta na watoto watatu (3) wote wa kike kila mmoja na Baba yake.
Na huyu Baba kipindi anamuoa Mama, alikuwa na Mtoto mmoja (1) wa kiume.
Wazazi hawa wakaona kwa ndoa ya kiislam, wakazaa watoto wawili (2)
Mmoja wa kiume na mwingine wa kike.
Wazazi hawa wakaachana na taraka ikatoka, wakagawana mali walizochuma pamoja, kikiwepo na kiwanja.
Baada ya kuachana, maisha yakaendelea,
Huyu Mama akapata Mume mwingine akazaa nae mtoto mmoja wa kiume. Lakini hawakufunga ndoa.
Kwa upande wa yule Baba akawa na mke mwingine pia nae hakufunga ndoa na anawatoto wengine.
Huyu mama kwenye ule uwanja wake alioupata kipindi wanaachana na mzazi mwenzie, akajenga nyumba na hii nyumba alijenga kabla hata hajakutana na huyu Baba mwingine. Akawa anaishi yeye na familia yake.
Kulingana na ugumu wa Maisha,
Aliona binti yake wa pili kwa kuzaliwa anahangaika kwa nyumba za kupanga,
Akamwambia ajenge nyumba hapohapo kwenye ule uwanja Ili binti yake asiteseke. Na akipata uwezo atafute eneo na kujenga.
Miaka michache baadae huyu Mama akafariki Dunia na kuacha watoto sita (6), watatu walikutwa na yule mtalaka wake, wawili walizaa na mtalaka wake, na mmoja baada ya kutalakiana.
Sasa basi yule binti aliyejenga kwenye uwanja anataka watoto wote (6) wakatiwe eneo Lao kutoka kwenye ule uwanja, na yeye pale alipojenga ndio kwake alipewa na mama yake. Na hakuna nyalaka zozote zinazozibitisha hilo.
Sasa Je,
(1) Kuna ulisi wa kwamama?
(2) Huyu binti anahaki yakudai ardhi anayoidai?
(3) Wale watoto wawili ambao Baba yao ndio alichuma na mama, haki yao iko wapi?
(3) Hawa watoto wengine nafasi yao inakuwa wapi katika hilo?
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa mnayoijua sheria ya milasi.