Nasikia hata Tanzania utaratibu wa vitambulisho vya taifa haueleweki kwa sasa kuna watu wanapewa namba lakini card hazitoki. Kwa dispora hatujui utaratibu ukoje ! Najiuliza kwanini balozi waweze kufanya passport lakini washidwe vitambulisho vya taifa?
Kama kuna mtu anajua utaratibu naomba atueleze. Hili swala la vitambulisho vya taifa inaelekea walarushwa wanatafuta njia ya kulifanya liwe zoezi la kujuana na kupendeleana ili wapate posho zao hapa. Likiwa automatic na rahisi wanaona rushwa hawataweza kupata. Lakini wanarudisha nchi nyuma sana sana
Kama kuna mtu anajua utaratibu naomba atueleze. Hili swala la vitambulisho vya taifa inaelekea walarushwa wanatafuta njia ya kulifanya liwe zoezi la kujuana na kupendeleana ili wapate posho zao hapa. Likiwa automatic na rahisi wanaona rushwa hawataweza kupata. Lakini wanarudisha nchi nyuma sana sana