Kwa anayejuwa kuhusu zao la vanilla

Kwa anayejuwa kuhusu zao la vanilla

moondampwani

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2014
Posts
535
Reaction score
169
Siku za hivi karibuni kumekuwa na uhamasishaji mkubwa sana juu ya kilimo cha vanilla hapa nchini Tanzania, wahamasishaji wanadai kuwa zao la vanilla ni zao lenye faida na lina utajiri mkubwa sana tena wanasema ni zaidi ya madini.

Mimi binafsi nashawishika kuingia kwenye Kilimo hicho ila tu naomba uzoefu kwa anaejua ukweli kuhusu kilimo hicho hasa ukizingatia gharama za Kilimo cha vanilla ni kubwa sana.

Natanguliza shukran.

1620384650433.png

 
Iko hivi, zao hili hulimwa sehemu zenye baridi, mfano, Bukoba, Iringa, Njombe na Mbeya,
Zao hilo huchukua miezi 18 tangu limepandwa mpaka kukomaa, na wakati wote huhitaji mvua za kutosha.

kwa Kagera hupwandwa chini ya migomba ili zao hilo lipate kivuli na unyevu nyevu wakati wa kiangazi.

Vipi unataka na maelezo ya uvunaji, masoko, na changamoto zake pia na faida zake mkuu, ili niendelee kutililika
 
Iko hivi, zao hili hulimwa sehemu zenye baridi, mfano, Bukoba, Iringa, Njombe na Mbeya,
Zao hilo huchukua miezi 18 tangu limepandwa mpaka kukomaa, na wakati wote huhitaji mvua za kutosha.
kwa kagera hupwandwa chini ya migomba ili zao hilo lipate kivuli na unyevu nyevu wakati wa kiangazi.

Vip unataka na maelezo ya uvunaji, masoko, na changamoto zake pia na faida zake mkuu, ili niendelee kutililika
Wow tiririka mkuu! Wengi tunapata madini muhimu
 
Iko hivi, zao hili hulimwa sehemu zenye baridi, mfano, Bukoba, Iringa, Njombe na Mbeya,
Zao hilo huchukua miezi 18 tangu limepandwa mpaka kukomaa, na wakati wote huhitaji mvua za kutosha.
kwa kagera hupwandwa chini ya migomba ili zao hilo lipate kivuli na unyevu nyevu wakati wa kiangazi.

Vip unataka na maelezo ya uvunaji, masoko, na changamoto zake pia na faida zake mkuu, ili niendelee kutililika
Kuna siku nilisikia wanasema linachukua miezi mitatu
Wakasema kilo 1 ya mbegu ni kama milioni 1
Walikuwa wanahamasisha watu kulima Njombe
Linahitaji ulinzi kwa kuwa watu huwa wanauliwa na majambazi na kuibiwa
 
Iko hivi, zao hili hulimwa sehemu zenye baridi, mfano, Bukoba, Iringa, Njombe na Mbeya,
Zao hilo huchukua miezi 18 tangu limepandwa mpaka kukomaa, na wakati wote huhitaji mvua za kutosha.
kwa kagera hupwandwa chini ya migomba ili zao hilo lipate kivuli na unyevu nyevu wakati wa kiangazi.

Vip unataka na maelezo ya uvunaji, masoko, na changamoto zake pia na faida zake mkuu, ili niendelee kutililika

Ndio nipe na faida na changamoto zake, masoko na faida ikoje, nimewahi kumsikia anaejiita Mkurugenzi wa vanilla int hapa Tanzania akisema zao la vanilla hulimwa popote na wewe linakubali sehemu za baridi tu vipi hapo.
 
Kuna siku nilisikia wanasema linachukua miezi mitatu
Hizo ni stori za vijiweni mkuu

Vanila inastawi maeneo ya Morogoro, Kagera na tukuyu.. Inahitaji mvua za kutosha.. Na milimanj ndio inastawi vizuri..

Muda ni miaka almost miwili... Na utunzaji wake ni gharama coz inahitaji rasilimali watu sana...
 
Hizo ni stori za vijiweni mkuu

Vanila inastawi maeneo ya Morogoro, Kagera na tukuyu.. Inahitaji mvua za kutosha.. Na milimanj ndio inastawi vizuri..

Muda ni miaka almost miwili... Na utunzaji wake ni gharama coz inahitaji rasilimali watu sana...

Nimeongea na Mkurugenzi wa vanilla int akisema kuwa vanilla inakubali popote na wanailoma kwenye green house maana yake lazima kuwa na system ya umwagiliaji(irrigation system) sijui kama hiyo iko Sawa kwa uzoefu wako, na je umelima hiyo vanilla?
 
Siku za hivi karibuni kumekuwa na uhamasishaji mkubwa sana juu ya Kilimo cha vanilla hapa nchini Tanzania, wahamasishaji wanadai kuwa zao la vanilla ni zao lenye faida na lina utajiri mkubwa sana tena wanasema ni zaidi ya madini, Mimi binafsi nashawishika kuingia kwenye Kilimo hicho hicho ila tu naomba uzoefu kwa anaejuwa ukweli kuhusu kilimo hicho hasa ukizingatia Gharama Za Kilimo cha vanilla ni kubwa sana.

Natanguliza shukran!!!

Utapigwa fedha zako hizo za kustaafu.
 


Pitia na hapa
 


Pitia na hapa

Sawa
 
Back
Top Bottom