kwa anayemfahamu CHARLES MIANO mkuu wa kituo cha polisi himo

Kuna watu wana moyo mimi ningesamehe, kama ana mama wa kimachame ndio kabisa utaambiwa unautafuta urithi.
Ubarikiwe
 
Pole ndugu yetu. Jaribu kutumia kipindi cha search line cha Radio Free Africa 0655 782788 naamni utafanikiwa.
 
Mi nashauri angetumia hiyo janja..Kama alivyosema Mtambuzi. Ninauhakika angewapata tu dada zake na hata baba yake..maana wabongo wanapenda kujipendekeza kwa mtu mwenye fweza.

du! Noma.
 
Pole sana mkuu. Jaribu pia kuweka hili Tangazo kwenye blogu ya Michuzi. Watu wengi sana ni wapenzi wa blogu hiyo.
 
Nakupa pole sana Joseph.

Najuwa huna makosa lakini ukumbuke hizo ndio hasara za zinaa. Nawe usijiingize huko na wanaosoma hii habari yako waelewe hasara hizi zinatokana na uzinifu.
 
 

ni kweli ila mim sihitaj chochote toka kwake zaid ya kumjua ding na ndugu zangu tu. Ila tufahamiane.
 
Pesa ni silaha,Bastola ni mzigo!
Usicheze na pesa!


 
Nakupa pole sana Joseph.

Najuwa huna makosa lakini ukumbuke hizo ndio hasara za zinaa. Nawe usijiingize huko na wanaosoma hii habari yako waelewe hasara hizi zinatokana na uzinifu.

kuna mambo ukiyafatilia unaweza kuwa unamtusi mama yako. Na huku Moshi laana ni nje nje.
 
kuna mambo ukiyafatilia unaweza kuwa unamtusi mama yako. Na huku Moshi laana ni nje nje.


Master jay!
Wewe kuwa mpole tu! Nimeshakutahadharisha mapema tu ya kwmb hapa ni JF kuna kila aina ya raia na hakika matarajio yako tegemea itakuwa poa tu!

Ili mradi jina la Dingi liwe ni lenyewe!

Kila la Kheri Master jay!

Pamoja sana!
 
Pole ndugu yetu. Jaribu kutumia kipindi cha search line cha Radio Free Africa 0655 782788 naamni utafanikiwa.

0655782788 mbona hii namba ukipiga inasema haipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…