Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu ukifika wenyeji wanatabia yakuzoea watu hovyo epuka hilo.Ndugu zangu ninampango wa kwenda kufanya kazi Fulani huko na ninatamani nielewe mazingira Kwa mwenyeji vip maisha ya huko , watu wake ?, gharama za maisha zikoje
Vipi gharama za maisha?Ww nenda kafanye kazi usiibe tu wake za wenyewe
Mambo mengine mbona fresh tu.
WAtu wa huko wako poa tu - Wazanaki
Maisha ya Buhemba kwa ujumla ni ya kawaida. Hali ya hewa kwa sasa ni mvua chache. Vyakula vya nafaka ni vya kutosha, Nyama na Maziwa ni kwa wingi sana sana. Samaki kiasi wanapatikana kutokea Musoma. Wenyeji ni Wazanaki, jiepushe kudate wake/waume za watu au watoto wa wenyeji bila kuingiliana na wenyeji.Vipi gharama za maisha?
Magunga buhemba ndo naenda tajitahid kujiepusha na waume za watuMaisha ya Buhemba kwa ujumla ni ya kawaida. Hali ya hewa kwa sasa ni mvua chache. Vyakula vya nafaka ni vya kutosha, Nyama na Maziwa ni kwa wingi sana sana. Samaki kiasi wanapatikana kutokea Musoma. Wenyeji ni Wazanaki, jiepushe kudate wake/waume za watu au watoto wa wenyeji bila kuingiliana na wenyeji.
Jieupushe na Ugomvi au malumbano yasiyo na tija. Be calm uta injoy sana.
Mji upo Karibu na Musoma na Butiama pia. Sasa unaingia Mara Murra Gangamara acha kuria ria!
Buhemba maisha ni rahisi sana japo ni bush kiasi.Ndugu zangu ninampango wa kwenda kufanya kazi Fulani huko na ninatamani nielewe mazingira Kwa mwenyeji vip maisha ya huko , watu wake ? Gharama za maisha zikoje
Je ni kijijini sana au pamechangamka?Maisha ya Buhemba kwa ujumla ni ya kawaida. Hali ya hewa kwa sasa ni mvua chache. Vyakula vya nafaka ni vya kutosha, Nyama na Maziwa ni kwa wingi sana sana. Samaki kiasi wanapatikana kutokea Musoma. Wenyeji ni Wazanaki, jiepushe kudate wake/waume za watu au watoto wa wenyeji bila kuingiliana na wenyeji.
Jieupushe na Ugomvi au malumbano yasiyo na tija. Be calm uta injoy sana.
Mji upo Karibu na Musoma na Butiama pia. Sasa unaingia Mara Murra Gangamara acha kuria ria!
Wazanaki hata ugomvi hawawezi labda uchawiMaisha ya Buhemba kwa ujumla ni ya kawaida. Hali ya hewa kwa sasa ni mvua chache. Vyakula vya nafaka ni vya kutosha, Nyama na Maziwa ni kwa wingi sana sana. Samaki kiasi wanapatikana kutokea Musoma. Wenyeji ni Wazanaki, jiepushe kudate wake/waume za watu au watoto wa wenyeji bila kuingiliana na wenyeji.
Jieupushe na Ugomvi au malumbano yasiyo na tija. Be calm uta injoy sana.
Mji upo Karibu na Musoma na Butiama pia. Sasa unaingia Mara Murra Gangamara acha kuria ria!
Siwez kula kichuri my dearBuhemba ilipaswa kuwa kama Dubai au Joberg kwa sbabu ni eneo lilikuwa na dhahabu nyingi sana.
SErikali yetu haiangalii maendeleo mapana ya wananchi, wale Makaburu hata kuweka lami tokea Mkautano hadi Magunga wakashindwa. Wakachota utajiri wakaacha mashimo wakaondoka zao. Mkapa bwana.
Anyway hapo Magunga panachimbwa dhahabu hivyo inapachangamsha.
Safari njema katika na karibu Magunga, fanya mazoezi ya kula kichuri Mura
Naenda kufanya kazi hospital kama clinical officer , nitafanya Kwa miezi kadhaa kulingana na mkataba,sipendi kuishi Mahali ambapo ni kijijini sana ambapo Hadi fisi na wanyama wakali wanaishi pia usafiri wa shida ,sehemu za starehe hakuna, naogopa ushirikina na sipendi kufatiliana kimaisha.vp gharama za nyumba za kupanga?Unataka kujua kitu gani exclactly? Niliwahi kuishi huko miaka ya 2004 though sikukaa sana. Hakuna tofauti na Butiama kwa mwalimu Nyerere. Unakwenda kufanya kazi gani ma utakaa muda gani, nini unapenda na nini hukipendi; fafanua hayo kwanza ndio tukisaidie
Wakati mgodi wa Buhemba unafanya kazi, gharama za nyumba zilikua juu kidogo; usafiri to Musoma mjini was 👍 though sio muda wote; as I said, ile ni ardhi ya Wazanaki lakini na Wakulya wapo wa kutosha; mambo ya kamati (uchawi ) sijui sana and hence I can't comment it but sio mbali sana na Musoma mjiniNaenda kufanya kazi hospital kama clinical officer , nitafanya Kwa miezi kadhaa kulingana na mkataba,sipendi kuishi Mahali ambapo ni kijijini sana ambapo Hadi fisi na wanyama wakali wanaishi pia usafiri wa shida ,sehemu za starehe hakuna, naogopa ushirikina na sipendi kufatiliana kimaisha.vp gharama za nyumba za kupanga?
Kumbe mgodi haufanyi kazi?Wakati mgodi wa Buhemba unafanya kazi, gharama za nyumba zilikua juu kidogo; usafiri to Musoma mjini was 👍 though sio muda wote; as I said, ile ni ardhi ya Wazanaki lakini na Wakulya wapo wa kutosha; mambo ya kamati (uchawi ) sijui sana and hence I can't comment it but sio mbali sana na Musoma mjini
Kazi yake tena na muda wa kuishi ? Mbona nadhani hayo ni personal issues? Yeye ametaka kujua pakoje inatosha ila aliamua kujianika fresh tuUnataka kujua kitu gani exclactly? Niliwahi kuishi huko miaka ya 2004 though sikukaa sana. Hakuna tofauti na Butiama kwa mwalimu Nyerere. Unakwenda kufanya kazi gani ma utakaa muda gani, nini unapenda na nini hukipendi; fafanua hayo kwanza ndio tukisaidie
Akiamua kujianika fresh tuKazi yake tena na muda wa kuishi ? Mbona nadhani hayo ni personal issues? Yeye ametaka kujua pakoje inatosha ila aliamua kujianika fresh tu
Zamani kulikuwa na kambi ya JKT alikuwa KONTAWA MLay....baadae pakawa na machimbo ya dhahabu ...ambapo kuna mwaka fedenge wa kubwa wakapiga gold kwa kutumia ndege....kwa sasa kulikuwa na kimgodi uchwara lakini kina bell dumper....kwa pempeni kuna wachimbaji wadogowadogo wa dhahabu na angalau rizki wanapata.......Ndugu zangu ninampango wa kwenda kufanya kazi Fulani huko na ninatamani nielewe mazingira Kwa mwenyeji vip maisha ya huko , watu wake ? Gharama za maisha zikoje
Tumeisha malizana nae bro; relaxKazi yake tena na muda wa kuishi ? Mbona nadhani hayo ni personal issues? Yeye ametaka kujua pakoje inatosha ila aliamua kujianika fresh tu