INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

Usiogope mkuu vitu vinaongeleka Muhimu uwe Serious kwanza mengine yanabebeka na kusaidiana ila ni lazima uonyeshe NIA kwanza.
Mie ndio natka kufungua nipo kwenye process ya kutafuta eneo naomba ushauri wako nfanyaje
 
Chukua laki4 unanikopia vyote 60TB,
Mimi sifanyi biashara napeleka mzigo home ntaangalia zile za English na mke yai halipandi Kama diva ataangalia hizo za kina Lufufu.
1st Your Not Serious

2nd hujui thamani ya 60TB (and i believe hauna) Sixty TB ukishajua thamani yake utaidharau sana hiyo offer uliyoitoa.

3rd Ombi lako haliwezekani hata kwa 1M (bado) haiwezekani
 
Laki 5 yote hiyo wakati unaweza kodi frame KKOO hata ndani ndani huko kwa 200K kwa mwezi ukaunga Faiba au Zuku ya 200K kwa mwezi ukadownload hadi uchoke

Frem utakodi kwa kodi ya mwezi sio mkuu?

Faiba utaunganisha kwa bei gani mkuu?

hadi unapata hiyo frem huko ndani ndani utatumia kama 50k tu nadhani mkuu

K.koo unayoiongelea nadhani sio hii tunayoijua wote,wewe utakua umetumia CODE (fumbo) kusema eneo fulani ila hukudhamiria kusema k.koo naamini hivyo.

Hata hivyo ushauri wako bado ni mzuri sana kwa kijana anaetamani kwenda k.koo kuunga faiba na kudownload movie mpaka achoke.
 
1st Your Not Serious

2nd hujui thamani ya 60TB (and i believe hauna) Sixty TB ukishajua thamani yake utaidharau sana hiyo offer uliyoitoa.

3rd Ombi lako haliwezekani hata kwa 1M (bado) haiwezekani
Boss jumla nina 100TB used 10 .72TB sawa ofa yangu iko chini la wewe haupotezi chochote tukifanya biashara.
 
Boss jumla nina 100TB used 10 .72TB sawa ofa yangu iko chini la wewe haupotezi chochote tukifanya biashara.
Ndio mana mna underrate biashara za wengine sio? Kwasababu akikupa yeye kwake inabaki mnahisi kama ni kamchezo ka hide and seek..

Mkuu value ya Movie ni kubwa kuliko value ya Boxer mpya pale showroom, Hesabu inayoingia kwenye movie store hata ununue bodaboda tatu uwape vijana hawawezi leta hiyo hesabu ya movie store.

Usichukulie poa kabisa biashara za watu, Ukishajiuliza ni kwanini BAJAJI mpya bei yake unaweza nunua Vits used na chenchi ikabaki ndio utaelewa n kwann bajaji iuzwe bei kuliko gari.

Sipotezi kitu yes kwa macho lakini ktk uhalisia kuna kikubwa sana nakipoteza ambacho huwezi kukijua kwasababu wewe sio mfanya biashara.
 
Nazi Ignition

Unahisi laki 4 yako inauwezo wa kuzalisha ofisi ya namna hiiii? Unajua hii ofisi kwenye picha ndani inaendeshwa kwa HARD DISK zenye storage kiasi gani?

Kwa taarifa fupi tu, hii ofisi unayoiona kwenye picha ndani ina Movie Store za ukubwa wa ONLY 40TB, just 40TB

Kupata Mzigo wa hii ofisi wote 40TB (cream movies) itakugharimu 10mil i hope umesoma vyema na unaelewa 10MIL unaweza nunua BOxer ngapi ukaingiza mtaani.

 
Ongeza software na games.
 
ongeza software na games.
Software na Games huitaji Mashine ya Peke yake kabisa tena mashine isiyokua na ANTIVIRUS.

Kuweka software na games kwenye mashine yenye antivirus ni kujitaftia hasara maana Setup zitakua zinaliwa kila siku, antivirus na setup za games n maji na mafuta, Antivirus na Setup za Software baadhi kama Hizi activators hawapatani Antivirus inazidelete. Tena usiombe uwe unatumia AVAST (siipendi hii antvirus).
 
Nimekuelewa mno, napenda sna turkish movie & series tatizo niko mkoani.
 
Nimekuelewa mno, napenda sna turkish movie & series tatizo niko mkoani.
Mkoani ili u enjoy tafuta external za GB 250 au 300GB mbili kisha moja nakua nayo huku nyingine unakua nayo huko,ukimaliza hizo huko unaniambia nakutumia hii nyingine ikiwa na movie pendwa ulizontajia kwahyo external zinapshana hapo njiani, 250 inakuja kwako 300 inakuja kwangu,mchezo wetu unakua ni huo huo,Mpaka pale utakapo staafu kuangalia movie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…