Kwa anayeuza vifaa vya ujenzi

Kwa anayeuza vifaa vya ujenzi

Mangii

Member
Joined
May 3, 2012
Posts
52
Reaction score
3
Habari wanajamii ninaduka la vifaa vya ujenzi hapa Dar maeneo ya kitunda mtaji wangu mdogo nahitaji mtu anayeuza vifaa vya ujenzi kwa bei ya jumla anisaidie vifaa kama Rangi, vifaa vya umeme ,vifaa vya bomba tuweke makubaliano niwe nauza vifaa faida nabakia nayo hela yake narudisha namba yzngu yzngu cm 0785323300
 
wale watu wako busy hawasomi hata gazeti jaribu kuwatembelea wewe mwenyewe ,tengeneza list yako watu unaoona wanaweza kufanya kazi na wewe .waonyeshe jinsi unavyoaminika hata mtaani kwako .kama huna uaminifu uko aftermoney hutafanikiwa
 
wale watu wako busy hawasomi hata gazeti jaribu kuwatembelea wewe mwenyewe ,tengeneza list yako watu unaoona wanaweza kufanya kazi na wewe .waonyeshe jinsi unavyoaminika hata mtaani kwako .kama huna uaminifu uko aftermoney hutafanikiwa
Asante Kwa ushauri mkuu sipo after money nitafanya hivyo
 
Back
Top Bottom