JAMBONIA LTD
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 584
- 274
Habari zenu wadau wa jf dokta..natafuta hospitali au kituo cha afya ambacho anayepiga picha za ultrasound hasa kwa akina mama ambaye naye ni mwanamke..kwa anayeijua anijuze tafadhali kwani nimetafta sana hapa dar ila bado cijafanikiwa....