Kwa atafutaye mume!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa atafutaye mume!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2009
Posts
6,158
Reaction score
4,449
pictures.jpg:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Hawa vijana watatu wapo Mkoani mbeya maeneyo Lughombo wanajishughulisha na kilimo kama timu, hawajawahi kuoa, sasa wamechoka na maisha ya kibachela kwa pamoja wamekubaliana kila mtu atafute mke wa kuoa. kwa atafutaye mume hii ni fursa ya kutokuiacha.

Wakwanza ana umri wa miaka 33, wa pili miaka32 na watatu miaka 27.

Sifa za wanawake wanao takiwa kutuma maombi kwa kila mmoja.

1. Wakwanza kutoka kushoto anaitwa Afyusisye: anataka mwanamke mrembo, msafi na asiwe mfupi mwenye umri usiozidi miaka 35. Weupe ni added advantage.


2. Wapili kutoka kushoto anaitwa Anyimike: anataka mwanamke mrembo, mweupe, mrefu mwembamba mwenye umri usiozidi miaka 37. Urefu ni added advantage.

3. Watatu kutoka kushoto anaitwa Kapufi: anatafuta mwanamke mwenye mwili mkubwa na uwezo kifedha, mwenye umri usiozidi miaka 37. Urembo ni added advantage.


Wote watatu wanatumia e-mail hii fredsimon65@yahoo.com kikubwa unatakiwa kusema unamuhitaji nani? then atakujibu kwa kukuuliza maswali mawili matatu ya usahili uki-pass mchakato wa posa utaanzia hapo:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:.
 
Duu! usini pm mimi wasiliana nao wao
 
Duu! usini pm mimi wasiliana nao wao

oryt oryt....mimi naomba unifikishie ujumbe kwa Anyimike.....mwambie nilipoona picha yake saa hiyo hiyo mapigo ya moyo yalibadilika.....ki ujumla sijiwezi asilani.....aniPM nina maneno nataka nimweleze
 
Ah Mugonile? Nawafahamu hawa vijana, changamkieni akina dada. ezan amesahau kuwajulisha kwamba hao ni wadogo zake kabisa, na wana vipaji kibao kama mpira wa miguu nk
 
View attachment 19353:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Hawa vijana watatu wapo Mkoani mbeya maeneyo Lughombo wanajishughulisha na kilimo kama timu, hawajawahi kuoa, sasa wamechoka na maisha ya kibachela kwa pamoja wamekubaliana kila mtu atafute mke wa kuoa. kwa atafutaye mume hii ni fursa ya kutokuiacha.

Wakwanza ana umri wa miaka 33, wa pili miaka32 na watatu miaka 27.

Sifa za wanawake wanao takiwa kutuma maombi kwa kila mmoja.

1. Wakwanza kutoka kushoto anaitwa Afyusisye: anataka mwanamke mrembo, msafi na asiwe mfupi mwenye umri usiozidi miaka 35. Weupe ni added advantage.


2. Wapili kutoka kushoto anaitwa Anyimike: anataka mwanamke mrembo, mweupe, mrefu mwembamba mwenye umri usiozidi miaka 37. Urefu ni added advantage.

3. Watatu kutoka kushoto anaitwa Kapufi: anatafuta mwanamke mwenye mwili mkubwa na uwezo kifedha, mwenye umri usiozidi miaka 37. Urembo ni added advantage.


Wote watatu wanatumia e-mail hii fredsimon65@yahoo.com kikubwa unatakiwa kusema unamuhitaji nani? then atakujibu kwa kukuuliza maswali mawili matatu ya usahili uki-pass mchakato wa posa utaanzia hapo:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:.

Ezan unafanana na wa dogo zako mh kama mayai.
 
Lizzy! huyu jamaa hatanii hao vijana wapo ila nilikua sijui kama wamekua kiasi hiki mpaka wanatafuta wachumba

Basi awaambie wajiunge ili watafute wenyewe!Kwani ye kawa dalali!
 
Huyo black beauty wa katikati amenivutia sana ila vigezo vya kumpata sina.
 
Ezan bwana! Mpaka umetoa email yako?!! Lakin ni njia nzuri ya ku-advertize email yako kwa warembo wa JF. Nadhan watajitokeza kwa wiiiingi
 
Ah Mugonile? Nawafahamu hawa vijana, changamkieni akina dada. ezan amesahau kuwajulisha kwamba hao ni wadogo zake kabisa, na wana vipaji kibao kama mpira wa miguu nk

Kumbe warembo wanajitokeza uki-jitangaza kuwataka?!! Ngoja na mimi nitangaze nia . . .
 
namtaka uyo wa kwenye avatar yako

Huyo ni mimi, na mimi sichukui mwanamke kirahisi rahisi kuna sifa inabidi uwe nazo, kwasababu nahitaji mwanamke wa kuishi naye maisha yangu yaliyo baki, ni lazima awe na uzoefu wa kuishi na mume si chini ya miaka miwili, na kwasababu nahitaji watoto inabidi muombaji awe na uzoefu wa kuzaa atleast awe na watoto wawili. Kuzaa nje ya ndoa itakuwa ni added advantage
 
Back
Top Bottom