Kwa baadhi ya mashabiki wa Simba SC wasiojielewa

Kwa baadhi ya mashabiki wa Simba SC wasiojielewa

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
Ujuaji na tabia ya mashabiki wa soka nchini inaudhi mno. Nitawachukua baadhi ya mashabiki wa Simba Sc kama sample.

Tuanze,

Jana kulikua na mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Simba Sc na Asante kotoko ya Ghana uliochezwa nchini Sudan, Simba Sc iliibuka na ushindi wa mabao 4 kwa 2.

Baada ya mchezo nilipita kwenye mitandao ya kijamii na kukutana na comments nyingi kutoka kwa mashabiki wakilalamikia uwezo wa wachezaji, walalamikiwa ni;
  1. Zungu
  2. Akpan
  3. Phiri
  4. Sakho
  5. Kapama
  6. Kocha
  7. Ally Salim
  8. Outarra
  9. Okwa
  10. Okra
  11. Chama
  12. Babra
  13. Mo
Kila shabiki alikua akitema yake kuwahusu hao hapo juu.

Kuna wachezaji ndiyo kwanza wamecheza mchezo wa kwanza, wengine michezo miwili mpaka mitatu, cha kujiuliza ni je, ujasiri wa kuwahukumu unatoka wapi?

Niwaombe mashabiki wa soka tuache ujuaji, tuzipe muda timu zetu na wachezaji wetu ili yasije kutokea ya Manchester United ambapo mchezaji ataliliwa kusajiliwa na baada ya mchezo mmoja atatukanwa na kutakiwa kuondoka kwa kuonekana hana kiwango.

Nisiwachoshe, naenda kazini!

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hao ni kama ndege aina ya chiriku! Ukiwazoea hupati shida hata kidogo. Kubwabwaja ndiyo jadi yao.

Leo watamponda Chama kazeeka! Sijui hana msaada kwenye timu!! Na bla bla nyingine nyingi.

Kesho akimpiga chenga mpinzani, au akifunga goli; tayari wameshasahau!! Sifa zote watamwagia!! Chama ni mwamba! Azizi Kii ana cha kujifunza kwa Chama!!
umemaliza ✅,
Uzi ufungwe
 
Tupo ambao hizo mambo hatuna. Tupo kwenye hali zote mbaya na nzuri tunachokisema mara zote kama mchezaji analeta masihara ajirekebishe na sio kumponda as if analofanya au amefanya kwa makusudi.
 
Ujuaji na tabia ya mashabiki wa soka nchini inaudhi mno. Nitawachukua baadhi ya mashabiki wa Simba Sc kama sample.

Tuanze,

Jana kulikua na mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Simba Sc na Asante kotoko ya Ghana uliochezwa nchini Sudan, Simba Sc iliibuka na ushindi wa mabao 4 kwa 2.

Baada ya mchezo nilipita kwenye mitandao ya kijamii na kukutana na comments nyingi kutoka kwa mashabiki wakilalamikia uwezo wa wachezaji, walalamikiwa ni;
  1. Zungu
  2. Akpan
  3. Phiri
  4. Sakho
  5. Kapama
  6. Kocha
  7. Ally Salim
  8. Outarra
  9. Okwa
  10. Okra
  11. Chama
  12. Babra
  13. Mo
Kila shabiki alikua akitema yake kuwahusu hao hapo juu.

Kuna wachezaji ndiyo kwanza wamecheza mchezo wa kwanza, wengine michezo miwili mpaka mitatu, cha kujiuliza ni je, ujasiri wa kuwahukumu unatoka wapi?

Niwaombe mashabiki wa soka tuache ujuaji, tuzipe muda timu zetu na wachezaji wetu ili yasije kutokea ya Manchester United ambapo mchezaji ataliliwa kusajiliwa na baada ya mchezo mmoja atatukanwa na kutakiwa kuondoka kwa kuonekana hana kiwango.

Nisiwachoshe, naenda kazini!

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Utakuwa mzushi wewe,hakuna aliyemlalamikia chama wala wengi wa hao isipokuwa wazungu wote kocha na mchezaji wake
 
Ujuaji na tabia ya mashabiki wa soka nchini inaudhi mno. Nitawachukua baadhi ya mashabiki wa Simba Sc kama sample.

Tuanze,

Jana kulikua na mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Simba Sc na Asante kotoko ya Ghana uliochezwa nchini Sudan, Simba Sc iliibuka na ushindi wa mabao 4 kwa 2.

Baada ya mchezo nilipita kwenye mitandao ya kijamii na kukutana na comments nyingi kutoka kwa mashabiki wakilalamikia uwezo wa wachezaji, walalamikiwa ni;
  1. Zungu
  2. Akpan
  3. Phiri
  4. Sakho
  5. Kapama
  6. Kocha
  7. Ally Salim
  8. Outarra
  9. Okwa
  10. Okra
  11. Chama
  12. Babra
  13. Mo
Kila shabiki alikua akitema yake kuwahusu hao hapo juu.

Kuna wachezaji ndiyo kwanza wamecheza mchezo wa kwanza, wengine michezo miwili mpaka mitatu, cha kujiuliza ni je, ujasiri wa kuwahukumu unatoka wapi?

Niwaombe mashabiki wa soka tuache ujuaji, tuzipe muda timu zetu na wachezaji wetu ili yasije kutokea ya Manchester United ambapo mchezaji ataliliwa kusajiliwa na baada ya mchezo mmoja atatukanwa na kutakiwa kuondoka kwa kuonekana hana kiwango.

Nisiwachoshe, naenda kazini!

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwa nini wanalaumu?
Wanacholaumu ni kweli kipo?
Siri kubwa ya mafanikio ya simba na yanga ni hiyo pressure ya wanachama na mashabiki.
Wewe na wenzako mnataka kudumaza timu? Acha wenye timu waisimamie. Unamwamini nani pale bila mashabiki?
Kila siku mnasema tu wapewe muda. Hamsemi muda wenyewe ni muda gani. Kwa wengine huo muda umetosha kupambanua nani ni nani. Kama sub anazofanya kocha zinaigharimu timu hadi leo, asilaumiwe?
Unajua mechi za kimataifa ni za mtoano?
Na zinaanza mwezi ujao?
Unajua kuwa ligi inaendelea?
Bado wapewe muda?
Hadi lini?
 
Back
Top Bottom