Kwa bajeti ya laki 4 hadi 6 ninunue simu gani ambayo kioo chake hakizidi laki 1 ?

Kwa bajeti ya laki 4 hadi 6 ninunue simu gani ambayo kioo chake hakizidi laki 1 ?

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Nimedondosha simu kioo kimepasuka, nimehamisha mafaili fasta kabla wino haujajaa

Bei ya kioo ni shilingi laki 4

Tukio kama hili ni mara ya pili, mara ya kwanza niliweka simu kabatini mwezi mzima nilikuwa natumia kitochi

round hii nimeona bora nibadili simu maana simu itanifilisi kipato changu sio kikubwa

Naombeni ushauri ninunue simu gani kwa bajeti ya laki 4 hadi 6 ambayo ina vioo vinavyo uzwa around laki

Napendelea zaidi kutumia samsung na google pixel
 
Zifananzo unamaanisha nini? Mana kwenye mzunguko wa mtaan sim n tecn infinix,redmi,oppo,sumsang iphone sasa unaposema na zifananazo weka waz ni zipi hizo
 
Nimedondosha simu kioo kimepasuka, nimehamisha mafaili fasta kabla wino haujajaa

Bei ya kioo ni shilingi laki 4

Tukio kama hili ni mara ya pili, mara ya kwanza nilikubali kulipia kioo, round hii nimeona bora nibadili simu

Naombeni ushauri ninunue simu gani kwa bajeti ya laki 4 hadi 6 ambayo ina vioo vinavyo uzwa around laki

Napendelea zaidi kutumia samsung na google pixel
Simu zenye lcd kioo hakizidi laki hata kiwe kizuri kiasi gani.

Kwa flagship za zamani zenye lcd ni iphone 11, Xiaomi redmi K30S (Aka Mi 10T), Aquos R5G na Aquos R3.

Alternative ni kununua Simu yenye warranty ya Tanzania sema njia hii ni mtu umfahamu kabisa akuuzie, simu ikiwa na Samsung care+ kubadili kioo ni bei rahisi.

Pia kuna Midrange ambazo ni kali, sio flagship level ila quality zake hazipo mbali na flagship,

Baadhi ya hizo simu ni kama
Oneplus Ace racing edition, Vivo Y100T, Motorola Edge S, Honor X40 GT, Xiaomi Redmi 11 na 12 zinazoishiwa na T kama 11T pro, 12T pro etc. Zote hizi zina Either Dimensity 8100 am Snapdragon 870 ambazo zilikua soc nzuri kurival flagship.
 
Nimedondosha simu kioo kimepasuka, nimehamisha mafaili fasta kabla wino haujajaa

Bei ya kioo ni shilingi laki 4

Tukio kama hili ni mara ya pili, mara ya kwanza niliweka simu kabatini mwezi mzima nilikuwa natumia kitochi

round hii nimeona bora nibadili simu maana simu itanifilisi kipato changu sio kikubwa

Naombeni ushauri ninunue simu gani kwa bajeti ya laki 4 hadi 6 ambayo ina vioo vinavyo uzwa around laki

Napendelea zaidi kutumia samsung na google pixel
Nunua kishikwambi kwa mwalimu
 
Simu zenye lcd kioo hakizidi laki hata kiwe kizuri kiasi gani.

Kwa flagship za zamani zenye lcd ni iphone 11, Xiaomi redmi K30S (Aka Mi 10T), Aquos R5G na Aquos R3.

Alternative ni kununua Simu yenye warranty ya Tanzania sema njia hii ni mtu umfahamu kabisa akuuzie, simu ikiwa na Samsung care+ kubadili kioo ni bei rahisi.

Pia kuna Midrange ambazo ni kali, sio flagship level ila quality zake hazipo mbali na flagship,

Baadhi ya hizo simu ni kama
Oneplus Ace racing edition, Vivo Y100T, Motorola Edge S, Honor X40 GT, Xiaomi Redmi 11 na 12 zinazoishiwa na T kama 11T pro, 12T pro etc. Zote hizi zina Either Dimensity 8100 am Snapdragon 870 ambazo zilikua soc nzuri kurival flagship.
Mkuu ni simu gani used nitapata kwa bei ya 250k- 300k ?
 
Simu zenye lcd kioo hakizidi laki hata kiwe kizuri kiasi gani.

Kwa flagship za zamani zenye lcd ni iphone 11, Xiaomi redmi K30S (Aka Mi 10T), Aquos R5G na Aquos R3.

Alternative ni kununua Simu yenye warranty ya Tanzania sema njia hii ni mtu umfahamu kabisa akuuzie, simu ikiwa na Samsung care+ kubadili kioo ni bei rahisi.

Pia kuna Midrange ambazo ni kali, sio flagship level ila quality zake hazipo mbali na flagship,

Baadhi ya hizo simu ni kama
Oneplus Ace racing edition, Vivo Y100T, Motorola Edge S, Honor X40 GT, Xiaomi Redmi 11 na 12 zinazoishiwa na T kama 11T pro, 12T pro etc. Zote hizi zina Either Dimensity 8100 am Snapdragon 870 ambazo zilikua soc nzuri kurival flagship.
Asante kwa maelezo ya kina yenye maarifa na ushauri chief, ntayafanyia kazi
 
Mkuu ni simu gani used nitapata kwa bei ya 250k- 300k ?
Kwa used flagship kama hio redmi K30S unapata, sema uagizishie online,

Used Midrange hio moto edge S unapata.

Kwa simu mpya Samsung A05, Xiaomi redmi 14C sema ni simu za kawaida sana.

Sema ushauri wangu kama unaweza ongeza budget kidogo tafuta Samsung A15 hii inacheza around 300-350K ikiwa mpya version ya Africa yenye warranty, itapunguza stress incase inaharibika.
 
Kwa used flagship kama hio redmi K30S unapata, sema uagizishie online,

Used Midrange hio moto edge S unapata.

Kwa simu mpya Samsung A05, Xiaomi redmi 14C sema ni simu za kawaida sana.

Sema ushauri wangu kama unaweza ongeza budget kidogo tafuta Samsung A15 hii inacheza around 300-350K ikiwa mpya version ya Africa yenye warranty, itapunguza stress incase inaharibika.
Asante nashukuru...
 
Kwa used flagship kama hio redmi K30S unapata, sema uagizishie online,

Used Midrange hio moto edge S unapata.

Kwa simu mpya Samsung A05, Xiaomi redmi 14C sema ni simu za kawaida sana.

Sema ushauri wangu kama unaweza ongeza budget kidogo tafuta Samsung A15 hii inacheza around 300-350K ikiwa mpya version ya Africa yenye warranty, itapunguza stress incase inaharibika.
Bei hiyo ya A15 ni ya wapi mkuu, kuna muuzaji kanipa quote ya 430k na 450k.
 
Bei hiyo ya A15 ni ya wapi mkuu, kuna muuzaji kanipa quote ya 430k na 450k.
Kuna A15 4G na 5G za 5G ndio zinakua range hio ya 4G nimenunua kama mara 3 bei ilikua 320-340K last time niliambiwa zimepanda ndio nikapata kwa 340K ila kikawaida ni 320K tu.

Pia kuna wajanja wanaleta refurb ukijichanganya wanakupiga, ukinunua hizi simu hakikisha kabla huja fungua box unaweka Imei kwenye Samsung Care+ ikikubali kuregister warranty ya Africa ujue ni yenyewe.

Maduka ni Kkoo Agrey, kuna jamaa yeye anapewa Jumla, anachukua then nampoza kidogo na yeye. Ila hata kwa reja reja mtu faida 10-20K anachukua.
 
Nimedondosha simu kioo kimepasuka, nimehamisha mafaili fasta kabla wino haujajaa

Bei ya kioo ni shilingi laki 4

Tukio kama hili ni mara ya pili, mara ya kwanza niliweka simu kabatini mwezi mzima nilikuwa natumia kitochi

round hii nimeona bora nibadili simu maana simu itanifilisi kipato changu sio kikubwa

Naombeni ushauri ninunue simu gani kwa bajeti ya laki 4 hadi 6 ambayo ina vioo vinavyo uzwa around laki

Napendelea zaidi kutumia samsung na google pixel
Watembelee Redmi au ingia Aliexpress chap unapata kioo cha simu yoyote siku 20 tu umepokea mzigo
 
Kuna A15 4G na 5G za 5G ndio zinakua range hio ya 4G nimenunua kama mara 3 bei ilikua 320-340K last time niliambiwa zimepanda ndio nikapata kwa 340K ila kikawaida ni 320K tu.

Pia kuna wajanja wanaleta refurb ukijichanganya wanakupiga, ukinunua hizi simu hakikisha kabla huja fungua box unaweka Imei kwenye Samsung Care+ ikikubali kuregister warranty ya Africa ujue ni yenyewe.

Maduka ni Kkoo Agrey, kuna jamaa yeye anapewa Jumla, anachukua then nampoza kidogo na yeye. Ila hata kwa reja reja mtu faida 10-20K anachukua.
Mkuu Chief-Mkwawa ,Mwenye Enzi Mungu azidi kukupa maisha, ujuzi na maarifa. Wengi tunafaidika sana na michango yako hapa JF, pamoja na kuwa huwa HATURUDI KUTOA USHUHUDA!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom