Kwa bajeti ya laki 5.5 hadi laki sita ninunue simu gani nzuri itanifaa?

Kwa bajeti ya laki 5.5 hadi laki sita ninunue simu gani nzuri itanifaa?

Kwa kazi zangu za mtandaoni mara kwa mara na sim yenye kasi na uwezo wa kuhifadhi vitu vingi na inayokaa na chaji sana nishaurini tafadhali ninunue sim gani kwa hiyo bajeti
Samsung a-24 ni nzuri sana
 
Google pixel 6,

-Quality nzuri (haichakai haraka)
-Processor yenye speed
-Muonekano wa kawaida ila wa tofauti
-Sio Simu ya trend Kwamba likitoka toleo jipya la zamani linaonekana limepitwa na wakati.

Ok
 
Google pixel 6,

-Quality nzuri (haichakai haraka)
-Processor yenye speed
-Muonekano wa kawaida ila wa tofauti
-Sio Simu ya trend Kwamba likitoka toleo jipya la zamani linaonekana limepitwa na wakati.
Vipi uvumilivu wa Betri yake ?
 
Nimetoka kuvuta samsung s21 refurbished kwa 500k. Nitafute baada ya miezi miwili nitoe mrejesho.
 
Back
Top Bottom