Kwa bajeti ya laki tano (500k) napata TV ya aina gani?

Kwa bajeti ya laki tano (500k) napata TV ya aina gani?

SOCIETY'S FOCUS

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
498
Reaction score
685
Habari ya majukumu ndugu zangu, nmejikusanya kidogo kidogo nkafanikiwa kupata laki tano kwa ajili ya tv.. Nahitaji tv imara na nzuri, je naweza kupata kampuni gani na ni inch ngap?

Ukiweza kunambia strength na weakness ya tv utakayonishauri ntashukuru zaidi.

Asante
 
0777 650 286
Bonga na huyu mwamba
Atamaliza haja zako
Nmesahau anatumia id gan humu ila yuko pow sana
 
Back
Top Bottom