BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Kwa Bajeti ya Tanzania shilling elfu hamsini naweza kupata wapi chumba standard ambapo nitapanda gari moja mpaka mjini na kuweza kurudi night kali bila hofu ya vibaka.
Natanguliza shukurani.
Natanguliza shukurani.