Kwa bei rahisi na nzuri Batiki / Vikoi

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Tunauza batiki na vikoi rangi na aina mbalimbali pisi / kipande kimoja cha batiki / kikoi ni Tsh: 8000, ukitaka pisi mbili bei mara mbili ya hiyo hapo juu vile vile na pisi tatu itakuwa hivyohivyo pia na kwenye maduka tunasambaza KARIBUNI SANA. tupo dodoma pia tunaweza kukutumia ni PM kwa mawasiliano zaidi.
 
Sample tuone, please!

tuna vya rang na michoro mbalmbal pia ukitak utapewa vilivyo unganishwa pande mbili au tatu km kitenge cha WAX kinavyo kuwaga pia ukubwa size ni kama WAX. KARIBU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…