Habarini wana ajamvi..
Hivi biashara ya play station games (Ps game) inahtaji kuwa na TIN na leseni??
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwa mfano hayazidi 4Mil hapo inakuaje mkuu?mkuu TIN ni Taxpayer Identification Number, na kama mauzo yako yanazidi 4m kwa mwaka lazima ulipe kodi, na kama una premises ambayo unafanya biashara lazima uwe na leseni ambayo utapata baada ya kujaza fomu ambayo itadetermine category ya biashara yako
ndio maana kwenye fomu kuna sehemu ya ofisi ya mtendaji wa kata ikisema kaama upewe au usipewe leseni akiona biashara yako haifai mtaani basi haupewiSio leseni tu, unatakiwa kua na kibali cha burudani na utamaduni ili uweze kuendesha fresh biashara yako, kitambo kidogo nlishafanya hii biashara, ata location pia zingatia maana kuna sehem unaweza fungua jamii ikakataa wazaz wakaungana ukafunga kibanda chako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kweli ukishakuwa addicted hata kula hutaman [emoji1787][emoji1787]Sio leseni tu, unatakiwa kua na kibali cha burudani na utamaduni ili uweze kuendesha fresh biashara yako, kitambo kidogo nlishafanya hii biashara, ata location pia zingatia maana kuna sehem unaweza fungua jamii ikakataa wazaz wakaungana ukafunga kibanda chako
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks bossMuuza karanga tu anambiwa awe na leseni ya wamachinga sembuse we na biashara ya Playstation
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app