BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Mmmh ghorafa ya aina gani kama zipi toa mfanoHello again, business guru's
Mchango kidogo wa mawazo, kujenga real estate, gorofa/ apartments kwa ajili ya renting/kupangisha kwa Kiswahili mnasema...
Je, budget ya bilioni zaidi ya moja na nusu[emoji385][emoji384][emoji387][emoji386] yaweza kutosha?? na kama ikitosha ni gorofa ngapi [emoji2515][emoji552][emoji539][emoji545] zaweza kukaa.
Nakaribisha wataalamu pia wa real estates na pia business guru's.
Imaweza ikatosha...imaweza isitoshe....Factor ni location location locationHello again, business guru's
Mchango kidogo wa mawazo, kujenga real estate, gorofa/ apartments kwa ajili ya renting/kupangisha kwa Kiswahili mnasema...
Je, budget ya bilioni zaidi ya moja na nusu[emoji385][emoji384][emoji387][emoji386] yaweza kutosha?? na kama ikitosha ni gorofa ngapi [emoji2515][emoji552][emoji539][emoji545] zaweza kukaa.
Nakaribisha wataalamu pia wa real estates na pia business guru's.
Elaborate.. connection howkwa hiyo Billion 1.5 unapata ghorofa tatu kama zile Hostel za UDSM a.k.a Expansion joint
ila hadi uwe na connection na NHC
Hello again, business guru's
Mchango kidogo wa mawazo, kujenga real estate, gorofa/ apartments kwa ajili ya renting/kupangisha kwa Kiswahili mnasema...
Je, budget ya bilioni zaidi ya moja na nusu[emoji385][emoji384][emoji387][emoji386] yaweza kutosha?? na kama ikitosha ni gorofa ngapi [emoji2515][emoji552][emoji539][emoji545] zaweza kukaa.
Nakaribisha wataalamu pia wa real estates na pia business guru's.
Wacheki TBA, Kumbuka gharama za jpm hostel. Wazee wa expansion jónt.Hello again, business guru's
Mchango kidogo wa mawazo, kujenga real estate, gorofa/ apartments kwa ajili ya renting/kupangisha kwa Kiswahili mnasema...
Je, budget ya bilioni zaidi ya moja na nusu[emoji385][emoji384][emoji387][emoji386] yaweza kutosha?? na kama ikitosha ni gorofa ngapi [emoji2515][emoji552][emoji539][emoji545] zaweza kukaa.
Nakaribisha wataalamu pia wa real estates na pia business guru's.
Kama ulikua huna contribution au huo muongozo unaousemea, umekuja kufanya nini?
SawaUna kiwanja reputed kwa ajili ya hiyo investment yako? Usije ukaenda kujengea nje ya mji ukategemea watu watakuja kupanga huko...kiwanja ndani ya mji kwa heka tatu andaa mil 400..kwaiyo toa mil 400 katika hesabu zako...zinazibakia ndo uzipigie mahesabu..
Mwenye hizo pesa ni wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ndio JF bhana.Hello again, business guru's
Mchango kidogo wa mawazo, kujenga real estate, gorofa/ apartments kwa ajili ya renting/kupangisha kwa Kiswahili mnasema...
Je, budget ya bilioni zaidi ya moja na nusu[emoji385][emoji384][emoji387][emoji386] yaweza kutosha?? na kama ikitosha ni gorofa ngapi [emoji2515][emoji552][emoji539][emoji545] zaweza kukaa.
Nakaribisha wataalamu pia wa real estates na pia business guru's.
18mm ntatumia, but ndio ningetaka muongozo, hivi kuna contractor wazawa kweli ? Mana naona majengo mengi makubwa ni kampun moja ya kichinaInategemea na aina za matirio utakazotumia.Mfano,atakayetumia nondo 18mm garama zake zitakuwa ni tofauti na aliyetumia nondo 12mm,uwiano wa simenti,mtaalamu/fundi wa ujenzi n.k
Location ya jengo ni katikati ya mji, mkuu unaonaje idea ya kumpa contract mkandarasi au kampun ya kikandarasiunaweza jenga lakini gharama hutegemea vitu vifuatavyo
location ya jengo lako
mchoro una structure za aina gani
Aina ya materials itakazotumia
Kandarasi
ni vema ukafafanua zaidi haya ili watu waweze kukuelewesha zaidi
1.5b hio ni hela ya mboga na Co. itakayochukua hio tenda itakua ni co. Yenye class ya mwisho huko, kuna co. za wazawa wanajenga majengo ya bil. hata 10018mm ntatumia, but ndio ningetaka muongozo, hivi kuna contractor wazawa kweli ? Mana naona majengo mengi makubwa ni kampun moja ya kichina
Ok. Good day.1.5b hio ni hela ya mboga na Co. itakayochukua hio tenda itakua ni co. Yenye class ya mwisho huko, kuna co. za wazawa wanajenga majengo ya bil. hata 100
Wako wengi sana,na kama utawahitaji nitakusaidia kupata.Wapo wenye miradi mikubwa,midogo n.k na wote wako kazini wanapiga kazi kwa sasa.18mm ntatumia, but ndio ningetaka muongozo, hivi kuna contractor wazawa kweli ? Mana naona majengo mengi makubwa ni kampun moja ya kichina
Chagua mmoja hapa muweke mipango: http://www.crb.go.tz/contractorsLocation ya jengo ni katikati ya mji, mkuu unaonaje idea ya kumpa contract mkandarasi au kampun ya kikandarasi