Kwa binti aliye tayari kuchukua dhamana ya penzi langu.

Kwa binti aliye tayari kuchukua dhamana ya penzi langu.

Hkeen

Member
Joined
Aug 17, 2011
Posts
95
Reaction score
4
Ahmedy Quasim ni jina langu, umri 21 yrs, naishi Moshi Mjini, wasifu wangu; urefu 5.6ft, ni mwili wangu wa wastani, ni mweusi, kiini cha jicho cheusi, mtanzania, muislam. Vitu ninavyo pendelea; napenda technology, basketbal, reading, physical execerse , playing game, charting, movie. Kuhusu level ya elimu bado ni mwanachuo. NATAFUTA BINTI ATEYEKUWA RADHI KUNIPENDA NA KUNIHESHIMU NA KUJA KUJENGA NAYE FAMILIA, HIVYO NI JAMBO MAKINI SANA. Sifa nizitakazo; binti mwenye mapenzi ya kweli , umri 18-25 , mweupe mrefu sio chini ya futi 4.5, mwenyetabia njema, mwenye malengo, mwenye kumjua Mungu, mwenye umbo la wastani/mwembamba, mpole, ajiheshimu, mwenye msimamo. Kama ww ni binti na unasifa kama nilizozitaja hapo juu tuwasiliane kwa e-mail; ahmedyquasim@yahoo.com . MAPENZI NI HUMPATE AKUPENDAYE.
 
maliza kusoma kwanza...you have long way to go for this stuff.
 
maliza kusoma kwanza...you have long way to go for this stuff.

oh! Ndio safari ni ndefu! Lol mpaka wapi! , unachotakiwa kujua nilipoandika hii thrd nilikuwa timamu, na sidhani kwamba sikufikiria hili kabla.
 
Sihitaji crtsm humu kama haikuhusu usitie neno muachieni inayemuhusu na anayedhani I CAN BE HER #1 FOREVER, tafadhali!
 
Back
Top Bottom