Kwa Bunge hili la sasa, hakuna Spika wa kuliheshimisha

Bunge la sasa ni kama mjumuiko wa bibi wazee, wanazungumzaa weee lakini mwishoni wala hawakumbuki walitaka nini.
 
Bunge la ma
 
serikali, bunge, mahakama mitihani mitupu
 
JPM alikuwa mwehu kabisa
 
Hata akina halima nao ni bila bila?
Tetesi nasikia job kongwa nayo anataka kujimwaga pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania haina Bunge - tuna Kamati ya chama cha Mapinduzi kilichojipa mamlaka ya kiBunge kwa ajili ya kulinda maslahi ya CCM.
 
Nakuunga mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…