GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mitimu mingine Boss Mkuu hajulikani, Bahili, Juha japo lina Hela, anaijali Timu ikikaribia kupata Fedha huku Viongozi wake Wengine wakiwa wapo wapo tu kila Mtu na Lwake halafu na Mishabiki yao ( GENTAMYCINE nikiwemo ) hatujaishia tu kuwa Mbumbumbu bali sasa ni Wendawazimu kabisa.
GSM ni Tajiri makini asiye na Mbambamba, Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said ni Mtu very Intelligent ( Mwerevu ), Mashabiki ( Wanachama ) wao nao ni Wafia Timu mno na hawanunuliki wala hawadanganyiki kdma Mizuzu kwa kuletewa Mchezaji Mpiga Kura Ukumbini na wana Wachezaji wanaojua nini Wajibu wao na yapi ni Malengo yao kwa Timu.
Ukiona Uzi wangu huu na Nyuzi Nyinginezo zinakukwaza na Kukuudhi hakikisha unatafuta Sumu ya Panya hapo uliko Ikoroge na Uinywe ili Ufe kabisa.
Yanga SC Mabingwa wa CAFCC 2023.
GSM ni Tajiri makini asiye na Mbambamba, Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said ni Mtu very Intelligent ( Mwerevu ), Mashabiki ( Wanachama ) wao nao ni Wafia Timu mno na hawanunuliki wala hawadanganyiki kdma Mizuzu kwa kuletewa Mchezaji Mpiga Kura Ukumbini na wana Wachezaji wanaojua nini Wajibu wao na yapi ni Malengo yao kwa Timu.
Ukiona Uzi wangu huu na Nyuzi Nyinginezo zinakukwaza na Kukuudhi hakikisha unatafuta Sumu ya Panya hapo uliko Ikoroge na Uinywe ili Ufe kabisa.
Yanga SC Mabingwa wa CAFCC 2023.