Kwa 'Customer Care' mbovu iliyoko Tanzania nawaonea Huruma Wageni watakaokuja Kushuhudia Michuano ya Pamoja AFCON 2027

Kwa 'Customer Care' mbovu iliyoko Tanzania nawaonea Huruma Wageni watakaokuja Kushuhudia Michuano ya Pamoja AFCON 2027

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE naomba niandaliwe Program Maalum nchi nzima ya kufundisha Customer Care kwa Watoa Huduma Wote kabla ya kuanza kwa Mashindano haya na nawahakikishieni kwa Madini yangu ya Kutukuka ambayo nitawapa tegemeeni Wageni wengi watakaokuja kutizama Michuano ya AFCON 2027 wakang'ang'ania Kubakia Tanzania na Tanzania kusifika Duniani kote.
 
Duh! Mi nafikiria jinsi tusivyojua kuongea kiingereza kwa ufasaha tutawahudumiaje wageni? Kiingereza tu shida, kifaransa si ndiyo itakuwa majanga? Hao watoa huduma kwa wageni wanao muda wa kujifunza kuongea kiingereza na kifaransa kuanzia sasa hadi 2027 watakuwa wanajua kuongea hata kiingereza/kifaransa cha matege inatosha kutolea huduma
 
GENTAMYCINE naomba niandaliwe Program Maalum nchi nzima ya kufundisha Customer Care kwa Watoa Huduma Wote kabla ya kuanza kwa Mashindano haya na nawahakikishieni kwa Madini yangu ya Kutukuka ambayo nitawapa tegemeeni Wageni wengi watakaokuja kutizama Michuano ya AFCON 2027 wakang'ang'ania Kubakia Tanzania na Tanzania kusifika Duniani kote.
hawajui kiingereza na mimi sijui kiingereza. tunatumia alama za ishara na picha kufikishana kwenye lengo
 
GENTAMYCINE naomba niandaliwe Program Maalum nchi nzima ya kufundisha Customer Care kwa Watoa Huduma Wote kabla ya kuanza kwa Mashindano haya na nawahakikishieni kwa Madini yangu ya Kutukuka ambayo nitawapa tegemeeni Wageni wengi watakaokuja kutizama Michuano ya AFCON 2027 wakang'ang'ania Kubakia Tanzania na Tanzania kusifika Duniani kote.
Andaa mwenyewe. Wakuandalie program ya kufundisha, we nani, Oprah Winfrey ?

Tunataka customer care kwa manufaa ya Watanzania kwanza, sio wageni wa AFCON. Eff the Afcon, eff the wageni wao.

Kujikomba mbele ya wageni. Third world, dimwitted foreigner-first mentality. Give me a freaking break.
 
GENTAMYCINE naomba niandaliwe Program Maalum nchi nzima ya kufundisha Customer Care kwa Watoa Huduma Wote kabla ya kuanza kwa Mashindano haya na nawahakikishieni kwa Madini yangu ya Kutukuka ambayo nitawapa tegemeeni Wageni wengi watakaokuja kutizama Michuano ya AFCON 2027 wakang'ang'ania Kubakia Tanzania na Tanzania kusifika Duniani kote.
Mshaanza majungu
 
Maajabu kweli yaani bingwa wa matusi anataka kuwa mkufunzi wa customer care wakati tunaona tu yeye akiulizwa swali anakimbilia kutukana.
 
GENTAMYCINE naomba niandaliwe Program Maalum nchi nzima ya kufundisha Customer Care kwa Watoa Huduma Wote kabla ya kuanza kwa Mashindano haya na nawahakikishieni kwa Madini yangu ya Kutukuka ambayo nitawapa tegemeeni Wageni wengi watakaokuja kutizama Michuano ya AFCON 2027 wakang'ang'ania Kubakia Tanzania na Tanzania kusifika Duniani kote.
umesema kweli itakuwa shida kabisa
 
GENTAMYCINE naomba niandaliwe Program Maalum nchi nzima ya kufundisha Customer Care kwa Watoa Huduma Wote kabla ya kuanza kwa Mashindano haya na nawahakikishieni kwa Madini yangu ya Kutukuka ambayo nitawapa tegemeeni Wageni wengi watakaokuja kutizama Michuano ya AFCON 2027 wakang'ang'ania Kubakia Tanzania na Tanzania kusifika Duniani kote.
Madini kutoka chuo cha kata
 
Labda ccm wanaweza wakawa wameondoka na uwajibikaji ukawepo na mafisadi wao wakawa wako jela.
 
Andaa mwenyewe. Wakuandalie program ya kufundisha, we nani, Oprah Winfrey ?

Kujikomba mbele ya mgeni. Third world, dimwitted foreigner-first mentality.

Tunataka customer care kwa manufaa ya Watanzania kwanza, sio wageni wa AFCON. Eff the Afcon, eff the wageni wao.
Pumbavu.
 
Maajabu kweli yaani bingwa wa matusi anataka kuwa mkufunzi wa customer care wakati tunaona tu yeye akiulizwa swali anakimbilia kutukana.
Acha Kukariri Pimbi na Boya Wewe sawa?
 
Back
Top Bottom