MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kiufundi na Kiujuzi wametuzidi almost kila Idara hivyo nashauri ili Kupunguza Magoli tukimalizana na Horoya Kesho tukirudi tutafute Waganga wa Kienyeji sehemu mbalimbali ya nchi ili wawapunguze Kasi Raja Casablanca na tujitahidi tufungwe nao Goli chache kwa Mkapa au tutoke nao Sare japo najua kwa Wanavyocheza Kwao tunaenda Kufa nyingi.
Mtizamo wangu huu Ukikukwaza wasubirie wale Wauza Sumu ya Panya wakipita Dirishani Kwako waite ilu Ununue kisha uichanganyie katika Chai yako Unywe Ufe / Ufariki kabisa.
Sipendi Unafiki na nachukia Unafiki kwa Simba SC yangu ninayoipenda na ilivyo hasa kwa sasa tusidanganyane Jumamosi ijayo kwa Mkapa tukicheza na Raja Casablanca tunakufa ( tunafungwa ) hapa hapa kama ambavyo hata Kesho tunapocheza na Horoya FC nakiona Kipigo na kama tutapona basi ni kutoka nao Suluhu au Sare ila kwa Simba SC yangu ya sasa yenye Mapungufu mengi ya Kiufundi nina wasiwasi nayo Kushinda na Kufika mbali CAFCL.
Tafadhali Post yangu itunzwe sawa?
Mtizamo wangu huu Ukikukwaza wasubirie wale Wauza Sumu ya Panya wakipita Dirishani Kwako waite ilu Ununue kisha uichanganyie katika Chai yako Unywe Ufe / Ufariki kabisa.
Sipendi Unafiki na nachukia Unafiki kwa Simba SC yangu ninayoipenda na ilivyo hasa kwa sasa tusidanganyane Jumamosi ijayo kwa Mkapa tukicheza na Raja Casablanca tunakufa ( tunafungwa ) hapa hapa kama ambavyo hata Kesho tunapocheza na Horoya FC nakiona Kipigo na kama tutapona basi ni kutoka nao Suluhu au Sare ila kwa Simba SC yangu ya sasa yenye Mapungufu mengi ya Kiufundi nina wasiwasi nayo Kushinda na Kufika mbali CAFCL.
Tafadhali Post yangu itunzwe sawa?