Kwa Dar hii ni kituko ila kwa Arusha hii ni zaidi ya fashion


Ila kwa mishati tu mh kweli size imezidi,hiyo inabidi muipe jina lake badala ya Doggy Doggy iwe Duggy Duggy..
 
Mtarukaruka wanaume wa dar ila chugga moto mwingine. Machalii ya Araa ni shida.... ukizingua kila rangi unaona.... hatutaki masoro pande hizi asee
Tena waambie Arachuga ni hatutaki masoro sie ndio maana scopion hawezi onekana pande hizi, wanajiita wanaume wa Dar halafu wanaogopa kuamua kugomvi mpaka binadamu mwenzao anatobolewa macho?! eti wanaume hao wanakula chipsi wakishuhudia mwingine akipewa ulemavu halafu wanaitisha harambee kumnunulia bajaji, thubutu, Arusha huyo scopiorn asingefanya hayo na sasa angekuwa historia, yaani kulikuwa na scopiorn... naipenda sana Arusha, sana.
 
Duuuuuuuu hii swaga za kishamba sana mikoti yaajabuajabu tu hiyo graduuu et hahahahahaha ndio maana tutaendelea kuwala mademu zenu tu nyie wanaume wa mikoan
Acha dharau wewe, eti wanaume wa mikoani?! mshewww, Dar nako unajiita mwanaume? mnakimbia familia kisa panya road, mnakula chips mkishuhudia mwanaume mwenzenu anapewa ulemavu?! Arusha hakuna hiyo kitu wewe, tena kwa upeo wako hata mwanamke wa Arusha huwezi msimamisha hata kwa salamu achilia mbali kumla, unajishebedua JF wakati hadharani mnachungulia diirishani?
 
Zenu bangi ,mirungi,viroba. Mibeto hamtumii akili ni ubabe tu usio na.maana kiufupi wachache ndio mnajielewa bdlkn wenzenu wamebadilika wakina Weusi dogojanja nw wako smart kimavaz mpaka akili mambo ya minyonyo wameacha sikuhiz naona mnaanza kukubali mdogomdogo hata bongoflavour
 
Haahaa, kuzaliwa Arusha tu ni sawa na mwanaume alietoka jando, wewe endelea kula chipsi huku ukiomba Mungu mwanaume mwingine asije kukutoa macho, haya mambo ya chuga tuachie wenyewe.
 
Mabadiliko peleka nyumbani kwenu.........Hao ni rebel kweli.....na lazima wanatumia majani.............mtu mwenye akili timamu hawezi akavaa upuuzi huo.....Eti identity.......Huko vyuoni ndo nimesoma nao...wanajifanya wanajua...kumbe ushamba tu.....tena nimesoma chuo chenye machilii wengi balaaaa......nawachora mikato yao...naona chenga sana.....
Halafu km ww n mjanja......kutukana...sio issue....ni uwezo mdogo wa kufikiri...........Sina kitambi........ila huwa nachomekea.......
Nimekukera......Pita hivi............
 
arusha ni kwa hovyo hovyo sana wao ni ugoro bangi na viroba tu
Wewee achaa uchizii wakoo wajanjaa wotee tunatokeaa chugaa acha kufananishaa chuga na vitu vya kijingaa
 
Wanaume Wa dar wengi sana wanatabia za watoto wakike nadhani dar wanaume halisi wanapo wachache sana wengi nikina Irene
 
ni shida aseeh, saa hizo kitu cha arusha kipo high kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…