Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Hakua ameomba pesa nikamtumia wimboWenzio wanataka miamala walipe Vicoba wewe unatuma dedication.
Umemaliza mkuu 😂😂😂Wenzio wanataka miamala walipe Vicoba wewe unatuma dedication.
Kwan aliomba wimbo?
Kwanza kaijibu kidharau sanaUnataka um-dedicate vitu vya moto vya Marioo.
Hii dunia kumbe taaamu
Dah! ngoja nijiengue.[emoji16][emoji16][emoji1] wachaga na mapenzi wapi na wapi we ungetuma tu m pesa apo mbona ungewin[emoji1]
Kuna kitu aliongea mwishoni akamalizia na neno "mie nawe" ndo nkamwambia kuna wimbo unaitwa hivo naupendaga ngoja nikutumieKwan aliomba wimbo?
Nimecheka hadi basi[emoji1787]Wenzio wanataka miamala walipe Vicoba wewe unatuma dedication.
Dah! introvert tunashida sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni ishara kwamba ni mtu mwenye dharau sana,kakosa hekima hata ya kinafki kushukuru maana nlimtumia kwa upendo wote.Uchambuzi yakinifu:
1. Ili "linyimbo". - kwake yeye huu ndo wimbo mbovu zaidid
2. La "mwaka 47" - kakuona wewe ni old school hujui kinachoendeleA duniani
3. Emoji [emoji51]- hapa alikua ameshaanza kukucheka lakn anajishtukia atakuumiza moyo.
4. Emoji [emoji23]- hapa alishindwa kujizuia akajikuta anasema in Aggrey Mwandyz voice "liwalo na liwe" akaamua kutwanga cheko kubwa sana la kwikwi kabisaaa
Bwana singasinga we vua ushungi kabisa umtandike mitama. Kujiengua hakutoshi! Je ungecheza kihindi ingekuaje?
Dah! mkuu me malezi nlokulia niya kuthamini sana hata upendo wa aina yeyote nnaotoa au kupokeaMkuu mbona mambo mepesi sana hayo?
Mwanaume hutakiwi kuwa too sensitive na kama umeumia either utasema au utapotezea tu.
Kwenye hiyo situation ingetegemea ila kama nimepanga kumuumiza basi ningemwambia "labda sababu sura yako ni kama ulizaliwa mwaka 47" hii sentensi fupi ingemuwinda mwaka mzima.
Na kama nimepanga kupotezea basi ningemwambia "kwa ajili yako ningefanya chochote ikiwemo kwenda kununua pete mwaka 47" then imeisha hiyo maisha yanaendelea.
Jifunze kuwa adaptable na kuimprovise mambo au maisha yatakuwa magumu sana kwako mzee, hasa kwa akili za wanawake na mkiwa ndani ya ndoa.
Alafu huyo kwa mwandiko wake lazima atakuwa mlokole sio romantic kabisa.
Ko mnanicheka au nini sielewi.[emoji16][emoji16][emoji16]